RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza
na Watendaji wa Serikali wa Mikoa
miwili ya Kaskazini na Kusini Pemba katika mkutano wake wa majumuisho ya ziara yake katika Mikoa hiyo,
mkutano uliofanyika katika ukumbi wa
Kiwanja cha Watoto Tibirinzi Chakechake Pemba.
BAADHI ya Mawaziri wa Serikali ya Mapinduzi
Zanzibar wakifuatilia hutuba ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe,Dk.Hussein Ali Mwinyi,(hayupo pichani) akihutubia katika mkutano wake wa majumuisho
ya ziara yake katika Mikoa ya Kaskazini
na Kusini Pemba, mkutano huo
uliofanyika katika ukumbi wa Kiwanja cha
Watoto Tibirinzi Chakechake Pemba
VIONGOZI wa Vyama vya Siasa Kisiwani Pemba
wakifuatilia hutuba ya majumuisho ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi.(hayupo pichani) baada ya kumaliza ziara
yake katika Mikoa miwili ya Pemba, mkutano huo uliofanyika katika ukumbi wa
Kiwanja cha Watoto Tibirinzi Chakechake
PembaWAKUU wa Mashirika ya Serikali wakifuatilia hutuba ya Rais wa
Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi.(hayupo
pichani) wakati wa mkutano wake wa
majumuisho ya ziara yake katika Mikoa miwili ya Kaskazini na Kusini Pemba, mkutano huo
uliofanyika katika ukumbi wa Kiwanja cha
Watoto Tibirinzi Chakechake Pemba
WAKUU wa Taasisi na Idara za Serikali Kisiwani Pemba wakifuatilia hutuba ya Rais wa Zanzibar
na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi.(hayupo pichani)
wakati wa mkutano wake wa majumuisho ya
ziara yake katika Mikoa miwili ya
Kaskazini na Kusini Pemba, mkutano huo uliofanyika katika ukumbi wa Kiwanja cha Watoto Tibirinzi Chakechake Pemba
VIONGOZI wa Vyama vya Siasa Kisiwani Pemba
wakifuatilia hutuba ya majumuisho ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi.(hayupo pichani) baada ya kumaliza ziara
yake katika Mikoa miwili ya Pemba, mkutano huo uliofanyika katika ukumbi wa
Kiwanja cha Watoto Tibirinzi Chakechake
Pemba
MKUU wa Mkoa wa Kusini Pemba Mhe. Mattar Zahor Masoud akizungumza kabla ya kumkaribisha Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi, kuzungumza katika mkutano wake wa majumuisho ya ziara yake katika Mikoa Miwili ya Kaskazini na Kusini Pemba uliofanyika katika ukumbi wa Kiwanja cha Watoto Tibirinzi Chakechake Pemba.
(Picha na Ikulu)
No comments:
Post a Comment