Makamu Mwenyekiti wa Chama cha ACT Wazalendo Juma Duni Haji akitoa hotuba ya kufungia kampeni na kuwahimiza wananchi wamchague mgombea Ubunge wa Chama hocho katika uchaguzi mdogo wa Jimbo la Konde Muhammed Said Issa katika siku ya Mwisho ya kufunga kampeni hapo kwenye viwanja vya konde Polisi.
Makamu Mwenyekiti wa Chama cha ACT Wazalendo Juma Duni Haji akimtangaza mgombea Ubunge wa Chama hocho katika uchaguzi mdogo wa Jimbo la Konde Muhammed Said Issa katika siku ya Mwisho ya kufunga kampeni hapo kwenye viwanja vya konde Polisi.
No comments:
Post a Comment