Habari za Punde

Waziri Mkuu Awasil Chato Geita.

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akisalimiana na Mkuu wa Mkoa wa Geita Rosemary Senyamule (wa pili kulia) na Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge, Ajira, Kazi, Vijana na Wenye ulemavu Jenista Mhagama  (wa tatu kulia) na viongozi wengine alipowasili kwenye uwanja wa ndege wa Chato, Geita Oktoba 11, 2021 ambapo kesho anatarajia kuzindua wiki ya Vijana Kitaifa 

(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.