Habari za Punde

Mkutano wa kupambana na Rushwa wafanyika Pemba katika kuadhimisha siku ya Rushwa duniani

WAANDISHI wa Habari kutoka Vyombo mbali mbali vya habari Pemba, wakifuatilia kwa makini Ufunguzi wa mkutano wa siku moja juu ya kupambana na Rushwa, ikiwa ni shamrashamra ya kuadhimisha siku ya Rushwa Duniani, Mkutano uliofanyika mjini Chake Chake.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)

MKURUGENZI wa Mamlaka ya kuzuwia Rushwa na Uhujumu Uchumi Zanzibar (ZAECA) ACP Ahmed Khamis Makarani, akizungumza na waandishi wa habari Pemba, ikiwa ni shamrashamra ya kuadhimisha siku ya Rushwa Duniani, Mkutano uliofanyika mjini Chake Chake.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)

MKURUGENZI wa Mamlaka ya kuzuwia Rushwa na Uhujumu Uchumi Zanzibar (ZAECA) ACP Ahmed Khamis Makarani, akizungumza na waandishi wa habari Pemba, ikiwa ni shamrashamra ya kuadhimisha siku ya Rushwa Duniani, Mkutano uliofanyika mjini Chake Chake.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)

MWENYEKITI wa Klabu ya Waandishi wa Habrai Pemba Bakar Mussa Juma, akiongoza mkutano wa waandishi wa habari na ZAECA ikiwa ni shamrashamra ya kuadhimisha siku ya Rushwa Duniani, mkutano uliofanyika mjini Chake.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.