Habari za Punde

Dk Saada Mkuya azungumzia maendeleo yaliyopatikana katika miaka 58 ya Mapinduzi ya Zanzibar kupitia wizara yake

WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Makamo wa Kwanza wa Rais, Dk. Saada Mkuya Salum akizungumza na Waandishi wa Habari wa vyombo mbalimbali kuhusiana na maendeleo yaliopatikana katika miaka 58 ya Mapinduzi ya Zanzibar kupitia wizara yake, mkutano huo ulifanyika katika ukumbi wa Wizara ya Utalii Kikwajuni.

WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Makamo wa Kwanza wa Rais, Dk. Saada Mkuya Salum akizungumza na Waandishi wa Habari wa vyombo mbalimbali kuhusiana na maendeleo yaliopatikana katika miaka 58 ya Mapinduzi ya Zanzibar kupitia wizara yake, mkutano huo ulifanyika katika ukumbi wa Wizara ya Utalii Kikwajuni.

WAANDISHI wa Habari wa Vyombo mbalimbali wakimsikiliza Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamo wa Kwanza wa Rais, Dk. Saada Mkuya Salum akizungumza kuhusiana na maendeleo yaliopatikana katika miaka 58 ya Mapinduzi ya Zanzibar kupitia wizara yake, mkutano huo ulifanyika katika ukumbi wa Wizara ya Utalii Kikwajuni.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.