Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Dkt. Philip Isdor Mpango akizungumza na Rais Mstaafu wa Awamu ya Saba
wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Dk. Ali Mohamed Shein akiwa na Mkewe Mama Mwanamwema Shein,wakati alipofika
kumtembelea Makamu wa Rais katika Makazi yake Osterbay Jijini Dar es salaam leo Disemba 10, 2021.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Dkt. Philip Isdor Mpango akiwa katika picha ya pamoja na Rais Mstaafu
wa Awamu ya Saba wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Dkt. Ali Mohamed Shein
wakati alipofika kumtembelea Makamu wa Rais katika Makazi yake Osterbay Jijini
Dar es salaam. (Kushoto kwa Makamu wa Rais ni Mkewe Mama Mbonimpaye Mpango na
kulia kwa Dkt. Shein ni Mkewe Mwanamwema Shein) Desemba 10, 2021.
No comments:
Post a Comment