Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akielekea katika ukumbi wa mkutano wa Sheikh Idrisa Abdulwakil Kikwajuni Jijini Zanzibar, kuhutubia Maadhimisho ya Siku ya Maadili na Haki za Binadamu na (kushoto kwa Rais) Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Katiba,Sheria,Utumishi na Utawala Bora Zanzibar Mhe Haroun Ali Suleiman na (kulia kwa Rais) Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja Mhe.Idrissa Mustafa Kitwana.
MWENYEKITI wa Tume ya Maadili ya Viongozi wa Umma Zanzibar Ndg.Assa
Ahmad Rashid akizungumza wakati wa Maadhimisho ya Siku ya Maadili na Haki za
Binadamu, wakati wa maadhimisho hayo yaliyofanyika katika ukumbi wa Sheikh
Idrisa Abdulwakil Kikwajuni Jijini Zanzibar
WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais Katiba,Sheria,Utumishi na Utawala Bora
Zanzibar Mhe.Haroun Ali Suleiman akizungumza kabla ya kumkaribisha mgeni rasmin
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe,.Dk.Hussein Ali
Mwinyi, kuhutubia hafla hiyo ya Maadhimisho ya Siku ya Maadili na Haki za
Binadamu, yaliyofanyika katika ukumbi wa Sheikh Idrisa Abdulwakil Kikwajuni
Jijini Zanzibar.
KATIBU wa Baraza la Mapinduzi na Katibu Mkuu Kiongozi Mhandisi Zena
Ahmed Said, Kaimu Jaji Mkuu wa Zanzibar Mhe.Khamis Ramadhan, Makamu wa Pili wa
Rais wa Zanzibar Mhe.Hemed Suleiman Abdulla na Waziri wa Katiba,Sheria,
Utumishi na Utawala Bora Mhe. Haroun Ali Suleiman, wakifuatilia Maadhimisho ya
Kilele cha Siku ya Maadili na Haki za Binadamu Zanzibar, wakati Rais wa
Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi.(hayupo
pichani) akihutubia katika maadhimisho hayo yaliyofanyika katika ukumbi wa
Sheikh.Idrisa Abdulwakil Kikwajuni Jijini Zanzibar
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali
Mwinyi akihutubia katika hafla ya Maadhimisho ya Siku ya Maadili na Haki za
Binaadamu, yaliyofanyika katika ukumbi wa Sheikh Idrisa Abdulwakil Kikwajuni
Jijini Zanzibar
VIONGOZI mbalimbali wa Taasisi za Serikali na Mashirika ya Umma Zanzibar
wakihudhuria mkutano wa Maadhimisho ya Kilele cha Siku ya Maadili na Haki za
Binadamu Zanzibar, hafla hiyo iliyofanyika katika ukumbi wa Sheikh Idrisa
Abdulwakil Kikwajuni Jijini Zanzibar
No comments:
Post a Comment