RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akielekea katika Bandari ya boti za abiria wanaotokea
Dar es Salaam kwa ajili ya kuupokea Mwili wa Marehemu Issa Kassim Issa,
aliyefiriki leo 18-12-2021 katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili Jijini Dar es
Salaam,akipatiwa matibabu.(kulia kwa Rais) Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi
Unguja Mhe.Idrissa Kitwana Mustafa na (kushoto kwa Rais) Waziri wa Ujenzi,Mawasiliano
na Uchukuzi Zanzibar.Mhe.Rahma Kassim Ali na Waziri wa Elimu na Mafunzo ya
Amali Zanzibar.Mhe Simai Mohammed Said

Marehemu Issa Kassim Issa (Baharia)
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwafariji na kutowa mkono wa pole kwa
Watoto wa Marehemu Issa Kassim Issa, alipofika Bandari Malindi kwa ajili ya
kuupokea mwili wa Marehemi Issa Kassim Issa (Baharia) aliyefariki leo katika
Hospitali ya Taifa Muhimbili Jijini Dar es Salaam akipatiwa matibabu
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akijumuika na Wananchi na Wanafamilia
katika kuupokea Mwili wa Marehemu Issa Kassim Issa (Baharia) aliyefariki leo 18-12-2021
katika Hospitali ya Taifa Muhimbili Jijini Dar es Salaam alipokuwa akipatiwa matibabu.
WANAFAMILIA na Wananchi wakipokea mwili wa Marehemu
Issa Kassim Issa (Baharia) katika bandari ya Malindi Zanzibar baada ya kuwasili
na Boti ya Azam Marine, ukitokea Dar es Salaam.
No comments:
Post a Comment