Mkulima wa Mwani
katika kijiji cha Makangale Wilaya ya Micheweni Kisiwani Pemba, sasa wamebuni
mbinu mpya ya uwanikaji wa Zao hilo juu ya kamba, ili kuunusuru mwani huo
kuingia michanga, vumbi na takataka pale wanapoanika chini, pichani mmoja ya
wananchi wa kijiji hicho akianika mwani huo
BIDHAA ya Mwani ikiwa umeanikwa juu ya kamba kwa lengo la kunusuru kuingia uchafu, pale wanapouwanika chini ikizingatiwa mwani ni chakula kama ilivyo vyakula vyengine.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)
No comments:
Post a Comment