Habari za Punde

Balozi wa Tanzania nchini Comoro Pereira Silima akabidhi hati za utambulisho

Balozi wa Tanzania nchini Comoro Pereira Silima  akizungumza na Rais wa visiwa vya Comoro H E Azali Assoumani alipofika Ikulu ya Rais kukabidhi hati za utambulisho  Moroni leo
Balozi wa Tanzania nchini Comoro Pereira Silima akikagua gwaride rasmi alipofika Ikulu ya Rais kukabidhi hati za utambulisho  Moroni leo
Balozi wa Tanzania nchini Comoro Pereira Silima akimkabidhi  Rais wa visiwa vya Comoro H E Azali Assoumani hati za utambulisho Ikulu ya Rais  Moroni leo
Balozi wa Tanzania nchini Comoro Pereira Silima akiagana na  Rais wa visiwa vya Comoro H E Azali Assoumani baada ya kukabidhi hati za utambulisho Ikulu ya Rais  Moroni leo
 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.