Makamu wa Rais wa
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Mpango akisalimiana na Makamu wa
Rais Mstaafu Dkt. Mohammed Gharib Bilal alipofika kutoa pole pamoja na familia yake kufuatia kifo
cha Mama yake Dkt. Bilal aliyefariki tarehe 3 Januari 2022 na kuzikwa tarehe 4
Januari 2022 kijiji cha Kiboje mkoa wa Kusini Unguja .
Makamu wa Rais wa
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Mpango akitoa pole kwa Makamu wa
Rais Mstaafu Dkt. Mohammed Gharib Bilal pamoja na familia yake kufuatia kifo
cha Mama yake Dkt. Bilal aliyefariki tarehe 3 Januari 2022 na kuzikwa tarehe 4
Januari 2022 kijiji cha Kiboje mkoa wa Kusini Unguja .
Makamu wa Rais wa
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Mpango akiwa katika picha ya pamoja
na familia ya Makamu wa Rais Mstaafu Dkt. Mohammed Gharib Bilal alipofika kutoa
pole kufuatia kifo cha Mama yake Dkt. aliyefariki tarehe 3 Januari 2022 na
kuzikwa tarehe 4 Januari 2022 kijiji cha Kiboje mkoa wa Kusini Unguja .
PICHA – OFISI YA MAKAMU WA RAIS JAN 24,2022.
No comments:
Post a Comment