RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwa katika matembezi ya Ufunguzi wa Wiki
ya Sheria Tanzania inayofanyika Jijini Dodoma katika viwanja vya Nyerere Square Jijini
Dodoma na (kushoto kwa Rais) Jaji Mkuu wa Tanzania Mhe.Prof Ibrahim Hamis Juma na
Kaimu Jaji Mkuu wa Zanzibar Khamis Ramadhan
Abdalla na (kulia kwa Rais) Naibu Spika wa Bunge la Tanzania Mhe Dkt. Tulia Ackson, Mke wa Rais wa Zanzibar
Mama Mariam Mwinyi na Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe.Anthony Mtaka, wakishiriki
katika matembezi hayo yalioazia Kituo Jumuishi cha Utoaji
Haki Dodoma na kumalizika katika viwanja
vya Nyerere Square Dodoma leo 23-1-2022
Washiriki wa Matembezi ya Ufunguzi wa Wiki ya Sheria Tanzania wakiwa katika matembezi hayo wakielekea katika viwanja vya Nyerere Square Jijini Dodoma kumalizia.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akifanya mazoezi baada ya kumaliza
matembezi ya Ufunguzi wa Wiki ya Sheria Tanzania yalioazia katika Kituo Jumuisho
cha Utoaji Haki na kumalizia katika viwanja vya Nyerere Square Jijini Dodoma na
(kushoto kwa Rais) Jaji Mkuu wa Tanzania Prof Ibrahim Hamis Juma na Kaimu Jaji
Mkuu wa Zanzibar Mhe.Khamis Ramadhan Abdalla na (kulia kwa Rais) Naibu Spika wa
Bunge la Tanzania Mhe. Dkt. Tulia Ackson, Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mariam
Mwinyi, Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Anthony Mtaka na Waziri wa Mambo ya Ndani ya
Nchi Mhe.George Boniface Simbachawene
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akitembelea maonesho ya Ufunguzi wa Wiki ya
Sheria Tanzania, katika banda la Chama cha Majaji na Mahakimu Wanawake Tanzania
(TAWJA) akipata maelezo kutoka kwa Afisa Mradi Bi. Asha Hassan Komba na (kulia
kwa Rais) Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mariam Mwinyi na Jaji Mkuu wa Tanzania
Mhe.Prof Ibrahim Hamis Juma, maonesho hayo yanafanyika katika viwanja vya
Nyerere Square Jijini Dodoma leo 23-1-2022
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk,Hussein Ali Mwinyi akitembelea banda la maonesho la Mamlaka ya
Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) akipata maelezo kutoka kwa Mkurugenzi wa
Huduma za Sheria.Bw.Stanislavs Kagisa na (kulia kwa Rais) Mke wa Rais Zanzibar
Mama Mariam Mwinyi, Jaji Mkuu wa Tanzania Mhe. Prof. Ibrahim Hamis Juma na
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Mhe.George Boniface Simbachawene
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk,Hussein Ali Mwinyi akitembelea banda la maonesho la Wizara ya
Katiba na Sheria akipata maelezo kutoka kwa Dr.Anne Malipula na (kulia kwa
Rais) Mke wa Rais Zanzibar Mama Mariam Mwinyi, , wakati wa ufunguzi wa Wiki ya Sheria Tanzania yanayofanyika
katika Viwanja vya Nyerere Square Jijini Dodoma leo 23-1-2022
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akipandika bendera ya Mahkama Kuu Tanzania
katika hafla ya Ufunguzi wa Wiki ya Sheria iliyofanyika katika viwanja vya
Nyerere Square Jijini Dodoma leo 23-1-2022, na (kushoto kwa Rais) Naibu Spika
wa Bunge la Tanzania Mhe.Dkt. Tulia Ackson
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiondoa pazia kuashiria kuizindua Nembo
ya Mahkama Kuu Tanzania wakati wa hafla ya Uzinduzi wa Wiki ya Sheria Tanzania
iliyofanyika katika viwanja vya Nyerere Square Jijini Dodoma leo 23-1-2022
akiwa na Jaji Mkuu wa Tanzania Mhe. Prof.Ibrahim Hamis Juma
WAGENI waalikwa wakifuatilia hituba ya Rais wa
Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi.(hayupo
pichani) akihutubia na kufungua Wiki ya Sheria Tanzania iliyofanyika katika
viwanja vya Nyerere Square Jijini Dodoma leo 23-1-2022
BAADHI ya Waheshimiwa Majaji wa Mahkama Kuu
Tanzania wakifuatilia hutuba ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akihutubia na kufungua Wiki ya Sheria
Tanzania iliyofanyika katika viwanja vya Nyerere Square Jijini Dodoma leo
23-1-2022
WAGENI waalikwa wakifuatilia hituba ya Rais wa
Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi.(hayupo
pichani) akihutubia na kufungua Wiki ya Sheria Tanzania iliyofanyika katika
viwanja vya Nyerere Square Jijini Dodoma leo 23-1-2022
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na kuagana na Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Tanzania Mhe.Mhe.George Boniface Simbachawene, baada ya kumaliza kufungua Wiki ya Sheria Tanzania,yaliyofanyika katika viwanja vya Nyerere Square Jijini Dodoma leo
23-1-2022
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na kuagana na Jaji Mkuu wa Tanzania Mhe.Prof Ibrahim Hamis Juma, baada ya kumaliza kufungua Wiki ya Sheria Tanzania,yaliyofanyika katika viwanja vya Nyerere Square Jijini Dodoma leo 23-1-2022
No comments:
Post a Comment