Habari za Punde

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi Amekutana na Kuzungumza na Bodi ya Wakurugenzi ya ZRB. na Kutengua Uteuzi wa Kamishna wa Bodi ya Mapato Zanzibar Bw. Salum Yussuf Ali.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na Bodi ya Wakurugenzi ya (ZRB) na Uongozi wa (ZRB) alipotembelea kwa mara ya kwanza Ofisi za Bodi ya Mapato Zanzibar.(ZRB) Mazizini Jijini Zanzibar, mazungumzo hayo yamefanyika katika ukumbi wa mkutano wa ofisi hiyo na kutengua uteuzi wa Kamishna Mkuu wa (ZRB) Bw. Salum Yussuf
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na Bodi ya Wakurugenzi ya (ZRB) na Uongozi wa (ZRB) alipotembelea kwa mara ya kwanza Ofisi za Bodi ya Mapato Zanzibar.(ZRB) Mazizini Jijini Zanzibar, mazungumzo hayo yamefanyika katika ukumbi wa mkutano wa ofisi hiyo na kutengua uteuzi wa Kamishna Mkuu wa (ZRB) Bw. Salum Yussuf Ali.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akisisitiza jambo wakati wa mkutanon wake na Bodi ya Wakurugenzi ya (ZRB) na Uongozi wa (ZRB) alipotembelea kwa mara ya kwanza Ofisi za Bodi ya Mapato Zanzibar.(ZRB) Mazizini Jijini Zanzibar, mazungumzo hayo yamefanyika katika ukumbi wa mkutano wa ofisi hiyo na kutengua uteuzi wa Kamishna Mkuu wa (ZRB) Bw. Salum Yussuf Ali.
MAOFISA wa Bodi ya Mapato Zanzibar (ZRB) wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) wakati wa mkutano wake na Wakurugenzi wa (ZRB) na Uongozi wa Mamlaka hiyo uliofanyika katika ukumbi wa Ofisi za (ZRB) Mazizini Jijini Zanzibar.
MAOFISA wa Bodi ya Mapato Zanzibar (ZRB) wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) wakati wa mkutano wake na Wakurugenzi wa (ZRB) na Uongozi wa Mamlaka hiyo uliofanyika katika ukumbi wa Ofisi za (ZRB) Mazizini Jijini Zanzibar
 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.