Wajumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa wakiwa katika kikao maalum kilichofanyika White House Jijini Dodoma kikiongozwa na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi na Rais wa Jamhuri ya Muungano waTanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan
Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi na Rais wa Jamhuri ya Muungano waTanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akiongoza Kikao Maalum cha Halmashauri Kuu ya Chama cha Mapinduzi CCM kilichokutana leo tarehe 08 Februari 2022 katika ukumbi wa Halmashauri Kuu ya CCM Jijini Dodoma.
No comments:
Post a Comment