NAIBU Mrajis wa Radhi Asha Suleiman Said, akitoa
ufafanuzi wa maswali yaliyoulizwa na wananchi wa shehia ya minazini Jimbo la
Mtambele Wilaya ya Mkoani, katika mkutano wa wazi wa kuelimisha jamii juu ya
masuala ya kisheria.(PICHA NA ABDI
SULEIMAN, PEMBA)
MWANASHERIA kutoka Kituo cha Huduma za Sheria
Zanzibar Tawi la Pemba, Safia Saleh Sultani akijibu hoja za kisheria za
wananchi wa shehia ya Minazini Jimbo la Mtambile Wilaya ya Mkoani, katika
mkutano wa wazi wa kuelimisha jamii juu ya masuala ya kisheria., (PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)
Asila Abdalla Ali mkaazi wa Minazini akiuliza swali
katika mkunao wa wazi wa kuelimisha jamii juu ya masuala ya kisheria, mkutano
ulioandaliwa na Idara ya katiba na msaada wa kisheria Zanzibar, mkutano
uliofanyika katika shehia ya Minazini Jimbo la Mtambile(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)
BAADHI ya wananchi wa shehia ya Minazini jimbo la
Mtambile Wilaya ya Mkoani, wakifuatilia kwa makini Mkutano wa wazi wa
kuelimisha jamii juu ya masuala ya kisheria, ulioandaliwa na Idara ya Katiba na
msaada wa kisheria Zanziba.(PICHA NA
ABDI SULEIMAN,PEMBA).
No comments:
Post a Comment