Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan akizungumza na Mtendaji Mkuu wa Taasisi ya Africa50, Alain Ebobisse aliyeambatana na Ujumbe wake Ikulu Jijini Dar es Salaam leo tarehe 23 Machi, 2022.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan akizungumza na Mtendaji Mkuu wa Taasisi ya Africa50, Alain Ebobisse aliyeambatana na Ujumbe wake Ikulu Jijini Dar es Salaam leo tarehe 23 Machi, 2022.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan akiwa katika picha ya pamoja na Mtendaji Mkuu wa Taasisi ya Africa50, Alain Ebobisse mara baada ya mazungumzo yao Ikulu Jijini Dar es Salaam leo tarehe 23 Machi, 2022.
Mhe Tabia Maulid Atembelea Ujenzi wa Ofisi za Shurika la Magazeti ya
Serikali Tunguu
-
Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Mhe. Tabia Maulid Mwita
amefanya ziara ya kuangalia maendeleo ya mradi wa Ujenzi wa Shirika la
Magazeti ya ...
10 minutes ago
No comments:
Post a Comment