MKE wa Rais wa Zanzibar ambae ni Mwenyekiti wa Taasisi ya Zanzibar Maisha
Bora Mama Mariam Mwinyi akisalimiana na Sheha wa Shehia ya Tumbatu Jongowe Bi.Miza
Ali Sharif, alipowasili katika Kisiwa cha Tumbatu kwa ajili ya hafla ya kutoa Sadaka
ya Futari kwa Wajane Wazee na Wenye hali ngumu, hafla hiyo imefanyika katika
Kijiji cha Jongowe Tumbatu
MKE wa Rais wa Zanzibar ambae ni Mwenyekiti wa
Taasisi ya Zanzibar Maisha Bora Mama Mariam Mwinyi akielekea katika eneo lililoandaliwa
kwa ajili ya kutoa Sadaka ya Futari kwa Wajane Wazee na Wenye hali ngumu katika
Kisiwa cha Tumbatu na (kulia kwake) Sheha wa Shehia ya Jongowe Bi.Miza Ali
Sharif na (kushoto kwake) Mkurugenzi wa Jumuiya ya Wajane Zanzibar Bi.Tabia
Makame
MKE wa Rais wa Zanzibar ambae ni Mwenyekiti wa
Taasisi ya Zanzibar Maisha Bora. Mama Mariam Mwinyi akimabidhi Sadaka ya Futari
Bi.Kazija Makame mafuta ya kupikia ikiwa ni moja ya vyakula alivyokabidhiwa kwa
Wajane Wazee na Wenye hali ngumu, hafla hiyo iliyofanyika katika Kijiji cha
Jongowe Tumbatu Unguja leo 21-4-2022 na (kushoto kwake) Mkuu wa Mkoa wa
Kaskazini Unguja Mhe.Ayoub Mohammed Mahmoud
MKE wa Rais wa Zanzibar ambae ni Mwenyekiti wa
Taasisi ya Zanzibar Maisha Bora. Mama Mariam Mwinyi akimabidhi mmoja wa Wazee
wa Tumbatu Sadaka ya Futari Bi.Tabu Kheri Haji ikiwa ni moja ya vyakula
alivyokabidhiwa kwa Wajane Wazee na Wenye hali ngumu, hafla hiyo iliyofanyika
katika Kijiji cha Jongowe Tumbatu Unguja leo 21-4-2022
WAZEE wa Tumbatu wakimsikiliza Mke wa Rais wa
Zanzibar ambae ni Mwenyekiti wa Taasisi ya Zanzibar Maisha Bora Mama Mariam
Mwinyi.(hayupo pichani) wakati wa hafla ya kutoa Sadaka ya Futari kwa Wajane
Wazee na Wenye hali Ngumu iliyofanyika katika Kijiji cha Jongowe Tumbatu Mkoa
wa Kaskazini Unguja
WAZEE wa Tumbatu wakimsikiliza Mke wa Rais wa
Zanzibar ambae ni Mwenyekiti wa Taasisi ya Zanzibar Maisha Bora Mama Mariam
Mwinyi.(hayupo pichani) wakati wa hafla ya kutoa Sadaka ya Futari kwa Wajane
Wazee na Wenye hali Ngumu iliyofanyika katika Kijiji cha Jongowe Tumbatu Mkoa
wa Kaskazini Unguja
MKE wa Rais wa Zanzibar ambae ni Mwenyekiti wa
Taasisi ya Zanzibar Maisha Bora Mama Mariam Mwinyi akiitikia dua ikisomwa na Sheikh.Makame
Said Khamis.(hayupo pichani) baada ya kumalizika kwa hafla ya kutoa Sadaka ya
Futari kwa Wajane Wazee na Wenye Hali Ngumu katika Kisiwa cha Tumbatu,
iliyofanyika katika Kijiji cha Jongowe na (kulia kwake) Mkuu wa Mkoa wa
Kaskazini Unguja Mhe.Ayoub Mohammed Mahmoud na (kushoto kwake) Sheha wa Shehia
ya Jongowe Bi. Miza Ali Sharif
MKE wa Rais wa Zanzibar ambae ni Mwenyekiti wa
Taasisi ya Zanzibar Maisha Bora Mama Mariam Mwinyi akisalimiana na kuagana na
Wazee wa Tumbatu baada ya kumalizika kwa hafla ya kutoa Sadaka ya Futari kwa
Wajane Wazee na Wenye Hali Ngumu katika Kisiwa cha Tumbatu Mkoa wa Kaskazini
Unguja
No comments:
Post a Comment