Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan, akisalimiana na Viongozi, Watumishi wa Ofisi ya Ubalozi wa Tanzania pamoja na Baadhi ya Wawakilishi kutoka nchi za SADC waliofika kumpokea alipowasili Jijini Washington Nchini Marekani kwa ajili ya kuanza ziara ya Kikazi leo tarehe 13 April 2022.
BUNGE LA 13 LAUNDA KAMATI 17, UPINZANI WAPENYA HUKU WANAWAKE WAKIWA WENGI
ZAIDI
-
Na Janeth Raphael MichuziTv -Dodoma
Bunge la 13 limeunda jumla ya Kamati 17 huku wanawake wengi wakichomoza
kuongoza kamati hizo, Wabunge wa upinzani wa ...
1 hour ago
.jpg)
.jpg)
.jpg)
0 Comments