Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan, akisalimiana na Viongozi, Watumishi wa Ofisi ya Ubalozi wa Tanzania pamoja na Baadhi ya Wawakilishi kutoka nchi za SADC waliofika kumpokea alipowasili Jijini Washington Nchini Marekani kwa ajili ya kuanza ziara ya Kikazi leo tarehe 13 April 2022.
WAZIRI LUKUVI NA VIONGOZI WENGINE KWENYE MAANDALIZI YA MISA YA KUAGA MWILI
WA HAYATI DAVID MSUYA
-
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Mhe. Wiliam
Lukuvi pamoja na viongozi mbalimbali katika maandalizi ya kushiriki ibada
ya kumuo...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment