Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan, akisalimiana na Viongozi, Watumishi wa Ofisi ya Ubalozi wa Tanzania pamoja na Baadhi ya Wawakilishi kutoka nchi za SADC waliofika kumpokea alipowasili Jijini Washington Nchini Marekani kwa ajili ya kuanza ziara ya Kikazi leo tarehe 13 April 2022.
WAZIRI MKUU ATEMBELEA HOSPITALI YA RUFAA MKOA WA DODOMA
-
Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba, akipata maelezo kutoka kwa
Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa Dodoma Dkt. Ibenzi Ernest
(kulia kwak...
4 hours ago

.jpg)
.jpg)
.jpg)
No comments:
Post a Comment