RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi ambae ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Alhaj
Dk.Hussein Ali Mwinyi na (kulia kwa Rais) Makamu Mwenyekiti wa Chama cha
Mapinduzi Zanzibar Rais Mstaafu wa Zanzibar Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein na Spika
wa Baraza la Wawakilishi Alhaj Zuberi Ali Maulid na (kushoto kwa Rais) Mufti
Mkuu wa Zanzibar Alhaj Sheikh Saleh Omar Kaabi, wakiitikia dua ikisomwa na
Katibu Mtendaji wa Ofisi ya Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh.Khalid Ali Mfaume,
baada ya kumalizika kwa Sala ya Magharibi iliyofanyika katika ukumbi Afisi Kuu
ya CCM Kisiwandui wakati wa hafla ya Futari Maalumu iliyoandaliwa na Rais wa
Zanzibar kwa Viongozi na Wanachama wa
CCM Zanzibar
MKE wa Rais wa Zanzibar Mama Mariam Mwinyi
akijumuka na Viongozi na Wanachama wa Chama Cha Mapinduzi katika futari maalumu
iliyoandaliwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi ambae ni
Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Alhaj Dk.Hussein Ali
Mwinyi (hayupo pichani) iliyofanyika katika ukumbi wa Afisi Kuu ya CCM
Kisiwandui Unguja Jijini Zanzibar jana 29-4-2022
MKE wa Rais wa Zanzibar Mama Mariam Mwinyi na
Mke wa Makamu wa Pili Mama Sharifa Omar Khalfan, wakimsikiliza Makamu
Mwenyekiti wa UWT Mhe.Thuwaiba Editon Kisasi akizungumza na kutowa shukrani kwa
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi ambae ni Mjumbe wa Kamati
Kuu ya CCM Taifa.Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi.(hayupo pichani) kwa futari
maalumu aliyowaandaliwa iliyofanyika katika ukumbi wa Afisi Kuu ya CCM
Kisiwandui Unguja Jijini Zanzibar jana 29-4-2022
MKE wa Rais wa Zanzibar Mama Mariam Mwinyi
akiitikia dua ikisomwa na Mwenyekiti wa UWT Mkoa wa Kusini Unguja Bi.Shemsa
Abdalla Ali.(hayupo pichani) baada ya kumalizika kwa hafla ya futari maalumu
iliyoandaliwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi ambae ni
Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Alhaj Dk.Hussein Ali
Mwinyi.(hayupo pichani)) iliyofanyika katika ukumbi wa Afisi Kuu ya CCM
Kisiwandui Unguja Jijini Zanzibar na (kushoto kwake) Mke wa Makamu wa Pili Mama
Sharifa Omar Khalfan na (kulia kwake) Makamu Mwenyekiti wa UWT Mhe.Thuwaiba
Editon Kisasi.
MKE wa Rais wa Zanzibar Mama Mariam Mwinyi
akiitikia dua ikisomwa na Mwenyekiti wa UWT Mkoa wa Kusini Unguja Bi.Shemsa
Abdalla Ali.(hayupo pichani) baada ya kumalizika kwa hafla ya futari maalumu
iliyoandaliwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi ambae ni
Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Alhaj Dk.Hussein Ali
Mwinyi.(hayupo pichani)) iliyofanyika katika ukumbi wa Afisi Kuu ya CCM
Kisiwandui Unguja Jijini Zanzibar na (kushoto kwake) Mke wa Makamu wa Pili Mama
Sharifa Omar Khalfan na (kulia kwake) Makamu Mwenyekiti wa UWT Mhe.Thuwaiba
Editon Kisasi.
NAIBU Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi
Zanzibar Dkt.Abdalla Juma Mabodi akizungumza katika hafla ya futari maalumu
iliyoandaliwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi ambae ni
Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Alhaj Dk.Hussein Ali
Mwinyi, kwa Viongozi na Wanachama wa CCM iliyofanyika katika ukumbi wa Afisi
Kuu ya CCM Kisiwandui Unguja Jijini Zanzibar jana 29-4-2022.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi ambae ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Alhaj
Dk.Hussein Ali Mwinyi na (kulia kwa Rais) Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar
Rais Mstaafu wa Zanzibar Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein na (kushoto kwa Rais) Alhaj
Sheikh.Saleh Omar Kaabi, wakifurahia jambo wakati Naibu Katibu wa CCM Zanzibar
Dkt.Abdalla Juma Mabodi.(hayupo pichani) alipokuwa akizungumza na kutowa
shukrani wakati wa hafla ya futari maalumu iliyoandaliwa kwa Viongozi na
Wanachama wa CCM Zanzibar, iliyofanyika katika ukumbi wa Afisi Kuu ya CCM
Kisiwandui Unguja Jijini Zanzibar jana 29-4-2022.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi ambae ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Alhaj
Dk.Hussein Ali Mwinyi, akizungumza baada ya kumalizika kwa hafla ya futari
maalumu aliyowaandalia Viongozi na Wanachama wa CCM Zanzibar iliyofanyika
katika ukumbi wa Afisi Kuu ya CCM Kisiwandui Unguja Jijini Zanzibar jana
29-4-2022, (kulia kwa Rais) Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Rais Mstaafu wa
Zanzibar Alhaj.Dk.Ali Mohamed Shein na (kushoto kwa Rais) Mufti Mkuu wa
Zanzibar Alhaj Sheikh.Saleh Omar Kaabi
BAADHI ya Viongozi na Wanachama wa Chama cha
Mapinduzi wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi
ambae ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Alhaj Dk.Hussein
Ali Mwinyi.(hayupo pichani) baada ya kumalizika kwa hafla ya futari maalumu iliyofanyika katika
ukumbi wa Afisi Kuu ya CCM Kisiwandui Unguja Jijini Zanzibar jana 29-4-2022
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi ambae ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Alhaj
Dk.Hussein Ali Mwinyi, akizungumza baada ya kumalizika kwa hafla ya futari
maalumu aliyowaandalia Viongozi na Wanachama wa CCM Zanzibar iliyofanyika
katika ukumbi wa Afisi Kuu ya CCM Kisiwandui Unguja Jijini Zanzibar jana 29-4-2022,
(kulia kwa Rais) Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Rais Mstaafu wa Zanzibar
Alhaj.Dk.Ali Mohamed Shein na (kushoto kwa Rais) Mufti Mkuu wa Zanzibar Alhaj
Sheikh.Saleh Omar Kaabi.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi ambae ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Alhaj
Dk.Hussein Ali Mwinyi na Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Rais Mstaafu wa
Zanzibar Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein wakiitikia dua ikisomwa na Mufti Mkuu wa
Zanzibar Alhaj Sheikh.Saleh Omar Kaabi.(kushoto kwa Rais) baada ya kumalizika
kwa hafla ya futari maalum iliyofanyika katika ukumbi wa Afisi Kuu ya CCM
Kisiwandui Unguja Jijini Zanzibar jana 29-4-2022
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi ambae ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi akiagana na Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Rais Mstaafu wa Zanzibar Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein, baada ya kumalizika kwa hafla ya futari maalum iliyofanyika katika ukumbi wa Afisi Kuu ya CCM Kisiwandui Unguja Jijini Zanzibar jana 29-4-2022.(Picha na Ikulu)
No comments:
Post a Comment