RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na Balozi wa Uingereza Nchini
Tanzania Mhe.David Concar na (kulia kwa Rais) Msaidizi wa Waziri Mkuu wa
Uingereza katika Masuala ya Biashara.Bw.Lord Wanley, walipofika Ikulu Jijini
Zanzibar kwa mazungumzo yaliofanyika katika ukumbi wa Ikulu leo 20-4-2022
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na Msaidizi wa Waziri Mkuu wa
Uingereza katika Masuala ya Biashara Bw.Lord Wanley, alipofika Ikulu Jijini
Zanzibar na Ujumbe wake kwa mazungumzo yaliofanyika katika ukumbi wa Ikulu leo
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na mgeni wake (kulia kwa
Rais) Msaidizi wa Waziri Mkuu wa
Uingereza katika Masuala ya Biashara Bw.Lord Wanley akiwa na Balozi wa
Uingereza Nchini Tanzania Mhe David Concar,alipofika Ikulu Jijini Zanzibar na
Ujumbe wake kwa mazungumzo yaliofanyika katika ukumbi wa Ikulu leo
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akifurahia jambo wakati akizungumza na
Msaidizi wa Waziri Mkuu wa Uingereza katika Masuala ya Biashara Bw.Lord
Wanley,baada ya kumaliza mazungumzo yao yaliofanyika katika ukumbi wa Ikulu
Jijini Zanzibar.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na kubadilishana mawazo na Msaidizi
wa Waziri Mkuu wa Uingereza katika Masuala ya Biashara.Bw. Lord Wanley baada ya
kumaliza mazungumzo yao yaliofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar leo
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiagana na mgeni wake Msaidizi wa Waziri
Mkuu wa Uingereza katika Masuala ya Biashara Bw.Lord Wanley baada ya kumaliza
mazungumzo yao yaliofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar leo
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwa katika picha ya pamoja na Ujumbe wa
baadhi ya Wawekezaji kutoka Nchini Uingereza na (kulia kwa Rais )Msaidizi wa
Waziri Mkuu wa Uingereza katika Masuala ya Biashara Bw.Lord Wanley , Waziri wa
Nchi Ofisi ya Rais Fedha na Mipango Zanzibar Mhe.Jamal Kassim Ali na (kushoto
kwa Rais) Balozi wa Uingereza Nchini Tanzania Mhe.David Concar na Waziri wa
Uchumi wa Buluu Zanzibar Mhe.Suleiman Masoud.
No comments:
Post a Comment