Habari za Punde

Katibu Itikadi na Uenezi Shaka Hamdu Ajumuika na Wananchi Katika Kijiwe cha Kahawa Stendi ya Zamani Babati.

Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya CCM, Itikadi na Uenezi Ndg.Shaka Hamdu Shaka akisalimiana na wananchi alipofika eneo la stendi ya zamani mjini Babati akiwa katika ziara hiyo.
Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya CCM, Itikadi na Uenezi.Ndg.Shaka Hamdu Shaka, akisalimiana na Wananchi wa Wilaya ya Babati alipofika katika kijiwe cha kahawa stendi ya zamani ya mabasi Mjini Babati Mkoani Manyara akiwa katika ziara yake ya kikazi mkoani humo
Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya CCM, Itikadi na Uenezi.Ndg.Shaka Hamdu Shaka, akizungumza na Wananchi wa Wilaya ya Babati alipofika katika kijiwe cha kahawa stendi ya zamani ya mabasi Mjini Babati Mkoani Manyara akiwa katika ziara yake ya kikazi mkoani humo
Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya CCM, Itikadi na Uenezi, Shaka Hamdu Shaka, akinywa kahawa na kuzungumza na wananchi katika kijiwe cha kahawa cha Stendi ya zamani mjini Babati, wilayani Babati, Mkoa wa Manyara, akiwa katika ziara ya kikazi mkoani humo, juzi. Kushoto kwake Mkuu wa Wilaya ya Babati Lazaro Twange.
(Picha zote na Fahad Siraji wa CCM).

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.