RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na Askofu wa Jimbo Katoliki Zanzibar
Mhashamu Askofu Agustino Shao, alipowasili katika Uwanja wa Amaan Unguja Jijini
Zanzibar, kuhudhuria Sherehe ya Jubilei ya miaka 25 ya Uaskofu wa Mhashamu
Agustino Mweleli Shao Askofu, iliyofanyika katika uwanja huo leo 10-5-2022
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akielekea katika jukwaa maalumu
lililoandaliwa kwa ajili ya Sherehe ya Jubilei ya Miaka 25 ya Uaskofu wa
Mhashamu Agustino Mweleli Shao, iliyofanyika katika Uwanja wa Amaan Unguja
Jijini Zanzibar leo 10-5-2022 na (kulia kwa Rais) Askofu Mhashamu Agustino Shao
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na Maaskofu baada ya kuwasili
katika Uwanja wa Amaan Unguja Jijini Zanzibar kuhudhuria Jubilei ya Miaka 25 ya
Mhashamu Askofu Agustino Mweleli Shao (kulia kwa Rais) iliyofanyika katika
uwanja huo leo 10-5-2022.
WANAKWAYA wa Kanisa Katoliki Zanzibar wakiimba
nyimbo maalumu wakati wa sherehe ya Jubilei ya Miaka 25 ya Uaskofu wa Muhashamu
Askofu Agustino Mweleli Shao, iliyofanyika katika Uwanja wa Amaan Unguja Jijini
Zanzibar
WANAKWAYA wa Kanisa Katoliki Zanzibar wakiimba
nyimbo maalumu wakati wa sherehe ya Jubilei ya Miaka 25 ya Uaskofu wa Muhashamu
Askofu Agustino Mweleli Shao, iliyofanyika katika Uwanja wa Amaan Unguja Jijini
Zanzibar
WANAKWAYA wa Kanisa Katoliki Zanzibar wakiimba
nyimbo maalumu wakati wa sherehe ya Jubilei ya Miaka 25 ya Uaskofu wa Muhashamu
Askofu Agustino Mweleli Shao, iliyofanyika katika Uwanja wa Amaan Unguja Jijini
Zanzibar
MWAKILISHI wa Baba Mtakatifu kutoka Vatican Richard
Gyhra akitowa salumu wakati wa sherehe za Jubilie ya Miaka 25 ya Uaskofu wa
Mhashamu Askofu Agustino Mweleli Shao wa Jimbo Katoliki Zanzibar, iliyofanyika
katika Uwanja wa Amaan Unguja Jijini Zanzibar
NAIBU Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh.Mahmoud
Mussa Wadi akizungumza na kutowa Salamu za Mufti Mkuu wa Zanzibar, wakati wa
hafla ya sherehe ya Jubilei ya Miaka 25 ya Uaskofu wa Mhashamu Askofu Agustino
Mweleli Shao, iliyofanyika katika Uwanja wa Amaan Unguja Jijini Zanzibar
ASKOFU Mhashamu Agustino Mweleli Shao
akizungumza katika sherehe za Jubilei ya Miaka 25 ya Uaskofu wake Jimbo
Katoliki la Zanzibar,kabla ya kumkaribisha mgeni rasmin Rais wa Zanzibar na
Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi, kuhutubia katika
sherehe hiyo iliyofanyika katika Uwanja wa Amaan Unguja Jijini Zanzibar leo
10-5-2022
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akihutubia katika hafla ya sherehe ya
Jubilei ya Miaka 25 ya Uaskofu wa Muhashamu Agustino Mweleli Shao wa Jimbo
Katoliki Zanzibar, iliyofanyika leo 10-5-2022, katika Uwanja wa Amaan Unguja
Jijini Zanzibar
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akihutubia katika hafla ya sherehe ya
Jubilei ya Miaka 25 ya Uaskofu wa Muhashamu Agustino Mweleli Shao wa Jimbo
Katoliki Zanzibar, iliyofanyika leo 10-5-2022, katika Uwanja wa Amaan Unguja
Jijini Zanzibar.
MAASKOFU wa Madhehebu Dini tafauti Zanzibar
wakifuatilia sherehe za Jubilei ya Miaka 25 ya Askofu Mhashamu wa Kanisa
Katoliki Jimbo la Zanzibar Askofu Agustino Mweleli Shao, wakati Rais wa
Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi.(hayupo
pichani) akihutubia katika hafla hiyo iliyofanyika katika Uwanja wa Amaan
Unguja Jijini Zanzibar leo 10-5-2022
MAASKOFU wa Kanisa Katoliki Tanzania
wakifuatilia hutuba ya mgeni rasmin Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi.(hayupo pichani) akihutubia katika hafla ya
sherehe ya Jubilei ya Miaka 25 ya Uaskofu wa Mhashamu Agustino Mweleli Shao wa
Jimbo Katoliki Zanzibar, hafla hiyo iliyofanyika katika Uwanja wa Amaan Unguja
Jijini Zanzibar
WAUMINI wa Kanisa Katoliki Zanzibar
wakimsikiliza mgeni rasmin Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi.(hayupo pichani) akihutubia katika hafla ya
Jubilei ya Miaka 25 ya Askofu Mhashamo Agustino Mweleli Shao, iliyofanyika
katika uwanja wa Amaan Unguja Jijini Zanzibar
MASISTER wa Kanisa Katoliki Zanzibar wakifuatila
hutuba ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein
Ali Mwinyi.(hayupo pichani) akihutubia katika hafla ya Sherehe ya Jubilei ya
Miaka 25 ya Askofu Mhashamu Askofu Agustino Mweleli Shao, iliyofanyika katika
Uwanja wa Amaan Unguja Jijini Zanzibar
MAPADRI wa Kanisa Katoliki Zanzibar
wakifuatila hutuba ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi
Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi.(hayupo pichani) akihutubia katika hafla ya Sherehe
ya Jubilei ya Miaka 25 ya Askofu Mhashamu Askofu Agustino Mweleli Shao,
iliyofanyika katika Uwanja wa Amaan Unguja Jijini Zanzibar
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akimkabidhi zawadi ya Mlango wa Zanzibar
Askofu Muhashamu wa Jimbo Katoliki Zanzibar Askofu Agustino Mweleli Shao,
wakati wa sherehe za Miaka 25 ya Uaskofu wake Jimbo la Zanzibar, hafla hiyo
iliyofanyika katika Uwanja wa Amaan Unguja Jijini Zanzibar leo 10-5-2022
No comments:
Post a Comment