Habari za Punde

Watanzania Changamkieni Nafasi za Kwenye Maonesho ya Africa Expo-- Germany 2022 Jiandikisheni kwa Wingi.

THE 15th INTERN:  AFRICA FESTIVAL& EXPO 2022 IN TÜBINGEN, GERMANY IT IS NOW OFFICIALLY OPEN FOR REGISTRATION & PARTICIPATION

Maonyesho ya kimataifa ya 15 ya "INTERNATIONAL  AFRICA FESTIVAL& EXPO 2022 IN TÜBINGEN, GERMANY"  yanayofanyika kila mwaka katika mji wa Tuebingen ,nchini Ujerumani. Maonyesho hayo ya Sanaa,Utamaduni,biadhaa za kiafrika, Utalii n.k ayataraijiwa kuanza tarehe 04 Augost hadi tarehe 7 Augost 2022. Hii ni nafasi pekee kwa watanzania wajasiliamali,wenye makapuni ya Utalii,Mahoteli, wasanii wa wasanaa za mikono kama vinyago n.k, watanamitindo ya mavazi,vikundi vya sanaa za maonyesho ya Ngoma za asili na bendi za muziki Live wanayo nafasi ya kujiandikisha kushiriki tamasha hilo nchini Ujerumani katika kutangaza bidhaa zao na kuitangaza nchi kimataifa. Watanzania wanatakiwa kutumia fursa hii kwa kujiandikisha https://africafestival-international.org  au info@africafestival-international.org  

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.