Habari za Punde

Waziri Mhe.Jafo Azindua Maadhimisho ya Wiki ya Mazingira.

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Dkt. Selemani Jafo (wa pili kulia) akiongoza matembezi yaliyoanzia eneo la Chimwaga kuelekea Iyumbu wakati wa ufunguzi wa Maadhimisho ya Wiki ya Mazingira leo Mei 28, 2022 yanayofanyika jijini Dodoma ikiwa ni sehemu ya Maadhimisho ya Siku ya Mazingira Duniani yanayotarajiwa kufanyika Juni 5, 2022.

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Dkt. Selemani Jafo akizungumza na wananchi wakati akifungua Maadhimisho ya Wiki ya Mazingira leo Mei 28, 2022 katika eneo la Iyumbu jijini Dodoma ikiwa ni sehemu ya Maadhimisho ya Siku ya Mazingira Duniani yanayotarajiwa kufanyika Juni 5, 2022.

Naibu Katibu Mkuu (Mazingira) Ofisi ya Makamu wa Rais Bw. Abdallah Hassan Mitawi akizungumza wakati wa ufunguzi wa Maadhimisho ya Wiki ya Mazingira leo Mei 28, 2022 katika eneo la Iyumbu jijini Dodoma ikiwa ni sehemu ya Maadhimisho ya Siku ya Mazingira Duniani yanayotarajiwa kufanyika Juni 5, 2022.

Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Anthony Mtaka akizungumza wakati wa ufunguzi wa Maadhimisho ya Wiki ya Mazingira leo Mei 28, 2022 katika eneo la Iyumbu jijini Dodoma ikiwa ni sehemu ya Maadhimisho ya Siku ya Mazingira Duniani yanayotarajiwa kufanyika Juni 5, 2022.

Mkurugenzi wa Mazingira Ofisi ya Makamu wa Rais Dkt. Andrew Komba akitoa neno la utambulisho wakati wa ufunguzi wa Maadhimisho ya Wiki ya Mazingira leo Mei 28, 2022 katika eneo la Iyumbu jijini Dodoma ikiwa ni sehemu ya Maadhimisho ya Siku ya Mazingira Duniani yanayotarajiwa kufanyika Juni 5, 2022.

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Dkt. Selemani Jafo (wa pili kulia) akipanda mti katika eneo la Iyumbu wakati wa ufunguzi wa Maadhimisho ya Wiki ya Mazingira leo Mei 28, 2022 yanayofanyika jijini Dodoma ikiwa ni sehemu ya Maadhimisho ya Siku ya Mazingira Duniani yanayotarajiwa kufanyika Juni 5, 2022.

Sehemu ya wananchi wakishiriki katika ufunguzi wa Maadhimisho ya Wiki ya Mazingira leo Mei 28, 2022 yanayofanyika jijini Dodoma ikiwa ni sehemu ya Maadhimisho ya Siku ya Mazingira Duniani yanayotarajiwa kufanyika Juni 5, 2022.

(PICHA NA OFISI YA MAKAMU WA RAIS)

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.