Habari za Punde

Naibu Waziri wa Afya Zanzibar Mhe. Hassan Khamis Akiendelea na Ziara Yake Kutembelea Vituo vya Mama na Mtoto na Kusisitiza Utoaji wa Huduma Bora.

Naibu Waziri Wizara ya Afya Mhe.Hassan Khamis Hafidh akikagua baadhi ya maeneo katika kituo cha Afya Fuoni Kibondeni wakati wa ziara yake kituoni hapo kusisitiza utendaji  kazi  na utoaji huduma bora kwa wananchi.
Naibu Waziri Wizara ya Afya Mhe.Hassan Khamis Hafidh akizungumza na watendaji katika kituo cha Afya Fuoni kuhusiana na uwajibikaji kazini alipofika Kituoni hapo kuendeleza ziara yake ndani ya  vituo vya Afya vinavyotoa Huduma ya mama na mtoto na  kusisitiza utendaji  kazi  na utoaji huduma bora kwa wananchi.
Naibu Waziri Wizara ya Afya Mhe.Hassan Khamis Hafidh akiwaelekeza jambo watendaji katika kituo cha Afya Fuoni wakati wa ziara yake ndani vituo vya Afya vinavyotoa Huduma ya mama na mtoto akisisitiza utendaji  kazi  na utoaji huduma bora kwa wananchi.
Naibu Waziri Wizara ya Afya Mhe.Hassan Khamis Hafidh akimtunza mtoto aliezaliwa salama katika kituo cha Afya Fuoni Kibondeni Fedha taslim kwaajili ya mahitaji mbalimbali ya mtoto huyo, mara alipofika kituoni hapo katika muendelezo  ziara yake kusisitiza utendaji  kazi  na utoaji huduma bora kwa wananchi.
Naibu Waziri Wizara ya Afya Mhe.Hassan Khamis Hafidh akizungumza na watendaji katika kituo cha Afya Fuoni kuhusiana na uwajibikaji kazini alipofika Kituoni hapo kuendeleza ziara yake ndani ya  vituo vya Afya vinavyotoa Huduma ya mama na mtoto na  kusisitiza utendaji  kazi  na utoaji huduma bora kwa wananchi.
Naibu Waziri Wizara ya Afya Mhe.Hassan Khamis Hafidh akizungumza na watendaji katika kituo cha Afya Fuoni Kibondeni kuhusiana na uwajibikaji kazini alipofika Kituoni hapo kuendeleza ziara yake ndani ya  vituo vya Afya vinavyotoa Huduma ya mama na mtoto na  kusisitiza utendaji  kazi  na utoaji huduma bora kwa wananchi. PICHA NA FAUZIA MUSSA –MAELEZO ZANZIBAR.
 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.