Baadhi ya Wafanyakazi wa Taasisi ya Karume ya Sayansi na Teknolojia Zanzibar (KIST), wakiuliza maswali mbali mbali yanayohusu Chama cha Wafanyakazi Zanzibar (ZAPSWU), baada ya Ungozi wa Chama hicho kufika katika Taasisi hiyo na kuzungumza na Wafanyakazi, hafla iliyofanyika Ukumbi wa Mkutano wa Dkt. Idrisa Muslim Hijja Mbweni Zanzibar.
Baadhi ya Wafanyakazi wa Taasisi ya Karume ya Sayansi na Teknolojia Zanzibar (KIST), wakiuliza maswali mbali mbali yanayohusu Chama cha Wafanyakazi Zanzibar (ZAPSWU), baada ya Ungozi wa Chama hicho kufika katika Taasisi hiyo na kuzungumza na Wafanyakazi, hafla iliyofanyika Ukumbi wa Mkutano wa Dkt. Idrisa Muslim Hijja Mbweni Zanzibar.Baadhi ya Wafanyakazi wa Taasisi ya Karume ya Sayansi na Teknolojia Zanzibar (KIST), wakiuliza maswali mbali mbali yanayohusu Chama cha Wafanyakazi Zanzibar (ZAPSWU), baada ya Ungozi wa Chama hicho kufika katika Taasisi hiyo na kuzungumza na Wafanyakazi, hafla iliyofanyika Ukumbi wa Mkutano wa Dkt. Idrisa Muslim Hijja Mbweni Zanzibar.
Baadhi ya Wafanyakazi wa Taasisi ya Karume ya Sayansi na Teknolojia Zanzibar (KIST), wakiuliza maswali mbali mbali yanayohusu Chama cha Wafanyakazi Zanzibar (ZAPSWU), baada ya Ungozi wa Chama hicho kufika katika Taasisi hiyo na kuzungumza na Wafanyakazi, hafla iliyofanyika Ukumbi wa Mkutano wa Dkt. Idrisa Muslim Hijja Mbweni Zanzibar.
Picha na Maryam Kidiko – KIST.
No comments:
Post a Comment