Habari za Punde

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi Amefungua Tawi la Benki ya CRDB Wete Pemba.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akifungua mlango na Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB Abdulmajid Mussa Nsekela kuashiria kulifungua Tawi la Benki ya CRDB Wete Pemba na (kushoto kwa Rais) Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mariam Mwinyi, ufunguzi huo uliofanyika leo 25-7-2022, Wilaya ya Wete Mkoa wa Kaskazini Pemba, wakati wa ziara yake kutembelea Miradi ya Maendeleo katika Mkoa huo
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akifungua mlango na Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB Abdulmajid Mussa Nsekela kuashiria kulifungua Tawi la Benki ya CRDB Wete Pemba na (kushoto kwa Rais) Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mariam Mwinyi, ufunguzi huo uliofanyika leo 25-7-2022, Wilaya ya Wete Mkoa wa Kaskazini Pemba, wakati wa ziara yake kutembelea Miradi ya Maendeleo katika Mkoa huo
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akikata utepe kuashiria kulifungua Tawi la Benki ya CRDB Wete Pemba Wilaya ya Wete Mkoa wa Kaskazini Pemba na (kushoto kwa Rais ) Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB Abdulmajid Mussa Nsekela na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Fedha na Mipango Mhe.Dk.Saada Mkuya na  (kulia kwa Rais) Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mariam Mwinyi, ufunguzi huo wa Tawi la Benki ya( CRDB) uliofanyika leo 25-7-2022
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akikata utepe kuashiria kulifungua Tawi la Benki ya CRDB Wete Pemba Wilaya ya Wete Mkoa wa Kaskazini Pemba na (kushoto kwa Rais ) Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB Abdulmajid Mussa Nsekela na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Fedha na Mipango Zanzibar Dkt. Saada Mkuya na (kulia kwa Rais) Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mariam Mwinyi, ufunguzi huo wa Tawi la Benki ya( CRDB) uliofanyika leo 25-7-2022

MKURUGENZI Mtendaji wa Benki ya CRDB Abdulmajid Mussa Nekela akizunguma na kutowa maelezo kuhusiana na hutuma mbalimbali zinazotolewa na Benki yake kwa Wananchi, wakati wa hafla ya ufunguzi wa Tawi la Benki ya CRDB Wete Mkoa wa Kaskazini Pemba, lililofunguliwa leo 25-7-2022, na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi, akiwa katrika ziara yake Pemba
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwahutubia Wananchi wa Mkoa wa Kaskazini Pemba katika hafla ya ufunguzi wa Tawi la Benki ya CRDB Wete Pemba leo 25-7-2022, wakati wa ziara yake katika Mkoa huo, kutembelea Miradi ya Maendeleo ya Mkoa huo.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwahutubia Wananchi wa Mkoa wa Kaskazini Pemba katika hafla ya ufunguzi wa Tawi la Benki ya CRDB Wete Pemba leo 25-7-2022, wakati wa ziara yake katika Mkoa huo, kutembelea Miradi ya Maendeleo ya Mkoa huo.
WAFANYAKAZI wa Benki ya CRDB wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi.(hayupo pichani) akiwahutubia katika hafla ya Ufunguzi wa Tawi la Benki ya CRDB Wete Pemba leo 25-7-2022
WANANCHI wa Wilaya ya Wete Mkoa wa Kaskazini Pemba wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi.(hayupo pichani) akiwahutubia katika hafla ya Ufunguzi wa Tawi la Benki ya CRDB Wete Pemba leo 25-7-2022
BAADHI ya Waendesha Bodaboda wa Mkoa wa Kaskazini Pemba wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi.(hayupo pichani) akiwahutubia katika hafla ya Ufunguzi wa Tawi la Benki ya CRDB Wete Pemba leo 25-7-2022
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akimkabidhi funguo ya Pikipiki (Bodaboda) Mwenyekiti wa Waendesha Bodaboda Mkoa wa Kaskazini Pemba Ndg. Said Kassim Juma,zilizotolewa Mkopo na Benki ya CRDB, wakati wa hafla ya Ufunguzi wa Tawi la Benki ya CRDB Wete Pemba (kushoto) Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB Abdulmajid Mussa Nsekela na (kulia kwa Rais) Mkuu wa Mkoa wa Kaskazini Pemba Mhe. Salama Mbarouk Khatib 
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akimkabidhi funguo ya Pikipiki (Bodaboda) Mwenyekiti wa Waendesha Bodaboda Mkoa wa Kaskazini Pemba Ndg. Said Kassim Juma,zilizotolewa Mkopo na Benki ya CRDB, wakati wa hafla ya Ufunguzi wa Tawi la Benki ya CRDB Wete Pemba (kushoto) Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB Abdulmajid Mussa Nsekela na (kulia kwa Rais) Mkuu wa Mkoa wa Kaskazini Pemba Mhe. Salama Mbarouk Khatib na Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mariam Mwinyi
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk.Hussein Ali Mwinyi akiondoka katika viwanja vya Tawi la Benki ya CRDB baada ya kulifungua rasmin leo 25-7-2022, na (kushoto kwa Rais) Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB Abdulmaji Mussa Nsekela na (kulia kwa Rais) Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mariam Mwinyi
 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.