RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwa na Mkewe Mama Mariam Mwinyi
wakisalimiana na Viongozi wa Serikali na Chama wa Mkoa wa Kaskazini Unguja
alipowasili katika Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mkokotoni kwa ajili ya kupokea taarifa
ya Mkoa kabla ya kuaza kwa ziara yake iliyofanyika leo 19-7-2022, katika Wilaya
ya Kaskazini “A” Unguja
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akisoma Taarifa ya utekelezaji wa Kazi za Maendeleo ya Mkoa wa
Kaskazini Unguja kabla ya kuaza kwa ziara hiyo iliyoazia katika Wilaya ya Kaskazini “A” Unguja leo 19-7-2022,
kabla ya kuwasilishwa kwa taarifa ya utekelezaji wa Miradi ya Maendeleo ya Mkoa
huo katika Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mkokotoni,(kulia kwa Rais ) Mkuu wa Mkoa wa
Kaskazini Unguja Mhe. Ayoub Mohammed Mahmoud na Mke wa Rais wa Zanzibar Mama
Mariam Mwinyi.
MKUU wa Mkoa wa Kaskazini Unguja Mhe.Ayoub
Mohammed Mahmoud akiwasilisha taarifa ya utekelezaji wa Miradiu ya Maendeleo ya Mkoa wake wakati wa
ziara ya Rais wa Zanzibar na Mweyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein
Ali Mwinyi (hayupo pichani) katika
ukumbi wa Ofisi ya Mkuo wa Mkoa, kabla ya kuaza kwa ziara yake katika
Wilaya ya Kaskazini “A” Unguja
VIONGOZI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na
Viongozi wa Serikali wakifuatilia taarifa ya utekeleza ya Mkoa wa Kaskazini
Unguja wakati ikiwasilishwa na Mkuu wa Mkoa wa Kaskazini Unguja Mhe. Ayoub
Mohammed Mahmoud akiwasilia kwa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi, katika ukumbi wa Ofisi ya Mkoa
Mkokotoni, kabla ya kuaza kwa ziara yake
katika Wilaya ya Kaskazini “A” Unguja
BAADHI ya Mawaziri wakifuatilia taarifa ya
utekelezaji ya Miradi ya Maendelo ya Mkoa wa Kaskazini Unguja ikisomwa na Mkuu
wa Mkoa wa Kaskazini Unguja Mhe.Ayoub Mohammed Mahmoud.(hayupo pichani) kabla ya kuaza kwa ziara ya Rais wa Zanzibar
na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk.Hussein Ali Mwinyi , katika Wilaya
ya Kaskazini “A” Unguja.
No comments:
Post a Comment