RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na Balozi wa Tanzania Nchini Ubelgiji Mhe. Jestas Abuok Nyamanga, alipofika Ikulu Jijini Zanzibar kwa mazungumzo yaliofanyika katika ukumbi wa Ikulu leo 10-8-2022.(Picha na Ikulu)
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwa katika mazungumzo na Balozi wa Tanzania Nchini Ubelgiji Mhe. Jestas Abouk Nyamanga, alipofika Ikulu Jijini Zanzibar kwa mazungumzo yaliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu leo 10-8-2022.(Picha na Ikulu)
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na Balozi wa Tanzania Nchini Ubelgiji Mhe. Jestas Abouk Nyamanga, alipofika Ikulu Jijini Zanzibar kwa mazungumzo yaliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu leo 10-8-2022.(Picha na Ikulu)
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwa katika picha ya pamoja na Balozi wa Tanzania Nchini Ubelgiji Mhe. Jestas Abouk Nyamanga, baada ya kumaliza mazungumo yao yaliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu leo 10-8-2022.(Picha na Ikulu)
CCM BADO TUPO SANA ,TUNAYO AJENDA YA KUDUMU KUWATUMIKIA WATANZANIA-WASIRA
-
Na Said Mwishehe,Michuzi TV-Geita
MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Stephen Wasira ameeleza
Chama hicho ni cha kudumu kwasababu kimekabidhiwa ...
5 hours ago
No comments:
Post a Comment