Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Liberata Mulamula akipokea nakala za Hati za Utambulisho za Balozi mteule wa Iran, Mhe. Hossein Alvandi Bahineh katika Ofisi Ndogo za Wizara Jijini Dar es Salaam tarehe 24 Agosti 2022
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Liberata Mulamula akipokea nakala za Hati za Utambulisho za Balozi mteule wa Kenya, Mhe. Isaack Njenga Gatitu katika Ofisi Ndogo za Wizara Jijini Dar es Salaam tarehe 24 Agosti 2022
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Liberata Mulamula akipokea nakala za Hati za Utambulisho za Balozi mteule wa Sweden, Mhe. Charlotta Ozaki Macias katika Ofisi Ndogo za Wizara Jijini Dar es Salaam tarehe 24 Agosti 2022
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Liberata Mulamula akipokea nakala za Hati za Utambulisho za Balozi mteule wa Ubelgiji, Mhe. Peter Huyghebaert katika Ofisi Ndogo za Wizara Jijini Dar es Salaam tarehe 24 Agosti 2022
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Liberata Mulamula akipokea nakala za Hati za Utambulisho za Balozi mteule wa Jamhuri ya Afrika Kusini, Mhe. Noluthando Mayende-Malepe katika Ofisi Ndogo za Wizara Jijini Dar es Salaam tarehe 24 Agosti 2022
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Liberata Mulamula akipokea nakala za Hati za Utambulisho za Balozi Mteule wa Jamhuri ya Sudan Kusini, Mhe. Loyang Johnson Okot Jekery katika Ofisi Ndogo za Wizara Jijini Dar es Salaam tarehe 24 Agosti 2022
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Liberata Mulamula akipokea nakala za Hati za Utambulisho za Balozi Mteule wa Thailand nchini, mwenye makazi yake Nairobi Kenya, Mhe. Sasirit Tangulrat katika Ofisi Ndogo za Wizara Jijini Dar es Salaam tarehe 24 Agosti 2022
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Liberata Mulamula akipokea nakala za Hati za Utambulisho za Balozi Mteule wa Ukraine nchini, mwenye makazi yake Nairobi Kenya, Mhe. Pravednyk Andrii katika Ofisi Ndogo za Wizara Jijini Dar es Salaam tarehe 24 Agosti 2022
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Liberata Mulamula akipokea nakala za Hati za Utambulisho za Balozi Mteule wa Jamhuri ya Slovakia nchini, mwenye makazi yake Nairobi Kenya, Katarina Žuffa Leligdonová katika Ofisi Ndogo za Wizara Jijini Dar es Salaam tarehe 24 Agosti 2022.
Waziri wa Mambo
ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Liberata Mulamula (Mb)
amepokea nakala za Hati za Utambulisho za Mabalozi tisa (9) katika Ofisi Ndogo
za Wizara Jijini Dar es Salaam tarehe 24 Agosti 2022.
Mabalozi
waliowasilisha nakala za hati za utambulisho kwa Mhe. Waziri ni Balozi mteule
wa Iran, Mhe. Hossein Alvandi Bahineh, Balozi mteule wa Kenya, Mhe. Isaack
Njenga Gatitu, Balozi mteule wa Sweden, Mhe. Charlotta Ozaki Macias. Balozi mteule wa Ubelgiji, Mhe. Peter
Huyghebaert, Balozi mteule wa Jamhuri ya Afrika Kusini, Mhe. Noluthando
Mayende-Malepe pamoja na Balozi Mteule wa Jamhuri ya Sudan Kusini, Mhe. Loyang
Johnson Okot Jekery.
Mabalozi
wengine waliowasilisha nakala za Hati za Utambulisho ambao makazi yao yapo
Nairobi, Kenya ni Balozi wa Thailand, Mhe. Sasirit Tangulrat, Balozi wa
Ukraine, Mhe. Pravednyk Andrii pamoja na Balozi wa Jamhuri ya Slovakia, Mhe.
Katarina Žuffa Leligdonová
Mara baada ya
kupokea nakala hizo kutoka kwa mabalozi hao, Waziri Mulamula amewapongeza na
kuwaahidi kuwa Wizara itawapa Ushirikiano wa kutosha ili waweze kutekeleza majukumu yao ya kuendeleza
ushirikiano uliopo baina ya Tanzania na mataifa hayo kwa ufanisi.
Imetolewa na:
Kitengo
cha Mawasiliano Serikalini.
No comments:
Post a Comment