Habari za Punde

Ligi Kuu ya Zanzibar PBZ PremierLeague Kati ya Timu ya Zimamoto na Taifa ya Jangombe Mchezo Uliofanyika Uwanja wa Amaan Timu ya Zimamoto Imeshinda Bao.4-0

Mchezo wa Ligi Kuu ya Zanzibar PBZ Premier League kati ya Timu ya Zimamoto na Taifa ya Jangombe mchezo uliofanyika katika Uwanja wa Amaan Unguja Timu ya Zimamoto imeshinda mchezo huo kwa mabao 4-0














No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.