Mchezo wa Ligi Kuu ya Zanzibar PBZ Premier League kati ya Timu ya Zimamoto na Taifa ya Jangombe mchezo uliofanyika katika Uwanja wa Amaan Unguja Timu ya Zimamoto imeshinda mchezo huo kwa mabao 4-0
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe.Hemed Suleiman Atembelea Hospitali
ya Mnazi Mmoja na ya Wilaya ya Magharibi B Unguja leo
-
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe.Hemed Suleiman Abdulla akisalimiana
na wagonjwa waliolazwa katika wodi ya mifupa katika hospital ya Rufaa ya
Mnazi...
43 minutes ago
No comments:
Post a Comment