Habari za Punde

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt.Philip Mpango Awasili Uwanja wa Ndege wa Dodoma akitokea Nchini Rwanda

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa  Dkt. Philip Mpango akiwa katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kigali wakati akiondoka nchini Rwanda kurejea Tanzania mara baada ya kumwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan katika Mkutano wa Mapinduzi ya Kijani Barani Afrika uliofanyika nchini humo. Kushoto ni Mke wa Makamu wa Rais Mama Mbonimpaye Mpango na kulia ni Waziri wa Mambo ya Nje wa Rwanda Mheshimiwa Vincent Biruta. 
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa  Dkt. Philip Mpango akiagana na Waziri wa Mambo ya Nje wa Rwanda Mheshimiwa Vincent Biruta katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kigali wakati akirejea nchini Tanzania mara baada ya kumwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan katika Mkutano wa Mapinduzi ya Kijani Barani Afrika uliofanyika nchini Rwanda.




Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa  Dkt. Philip Mpango akiwasili katika Uwanja wa Ndege wa Dodoma wakati akitokea Kigali Nchini Rwanda ambapo alimwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan katika Mkutano wa Mapinduzi ya Kijani Barani Afrika uliofanyika nchini Rwanda. 

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa  Dkt. Philip Mpango akiwasili katika Uwanja wa Ndege wa Dodoma wakati akitokea Kigali Nchini Rwanda ambapo alimwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan katika Mkutano wa Mapinduzi ya Kijani Barani Afrika uliofanyika nchini Rwanda. Tarehe 08 Septemba 2022.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.