MKE wa Rais wa Zanzibar ambae pia ni Mwenyekiti
wa Taasisi ya Zanzibar Maisha Bora Foundation Mama Mariam Mwinyi akijumuika na
Wanamichezo mbalimbali katika matembezi
na mazoezi ya viungo ya kilomita 5.5 yaliyoazia katika eneo la regeza
mwendo na kumalizikia katika viwanja vya Dole Wilaya ya Magharibi “A” Unguja
leo 24-9-2022, na (kushoto ) Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM
Bi.Lela Ngozi na Mkuu wa Wilaya ya Magharibi “A” Unguja Mhe. Suzan Kunambi
na(kulia) Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja Mhe. Idrisa Mustafa Kitwana na
Waziri wa Habari Vijana, Utamaduni na Michezo Zanzibar Mhe.Tabia Maulid Mwita
MKE wa Rais wa Zanzibar ambae pia ni Mwenyekiti
wa Taasisi ya Zanzibar Maisha Bora Foundation Mama Mariam Mwinyi akijumuika na
Wanamichezo mbalimbali katika matembezi
na mazoezi ya viungo ya kilomita 5.5 yaliyoazia katika eneo la regeza
mwendo na kumalizikia katika viwanja vya
mpira Dole Wilaya ya Magharibi “A” Unguja leo 24-9-2022, na (kushoto )
Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Bi.Lela Ngozi na (kulia) Mkuu wa
Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja Mhe. Idrisa Mustafa Kitwana
MKE wa Rais wa Zanzibar ambae pia ni Mwenyekiti
wa Taasisi ya Zanzibar Maisha Bora Foundation Mama Mariam Mwinyi akijumuika na
Wanamichezo mbalimbali Wilaya ya Magharibi “A” Unguja katika matembezi na mazoezi ya viungo ya kilomita 5.5
yaliyoazia katika eneo la regeza mwendo na kumalizikia katika viwanja vya Dole
Wilaya ya Magharibi “A” Unguja leo 24-9-2022, na (kushoto ) Mjumbe wa Kamati
Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Bi.Lela Ngozi na Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa
Magharibi Kichama Mhe. Mohammed Rajab na
(kulia) Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja Mhe. Idrisa Mustafa
Kitwana
MKE wa Rais wa Zanzibar ambae pia ni Mwenyekiti
wa Taasisi ya Zanzibar Maisha Bora Foundation Mama Mariam Mwinyi akiwasalimia
Wananchi wakati akiwa katika matembezi ya mazoezi ya viungo ya Kilomita 5.5
yalioazia katika eneo la regeza mwendo Kianga na kumalizia katika viwanja vya
mpira Dole Wilaya ya Magharibi “A” Unguja leo 24-9-2022 kwa mazoezi ya pamoja
ya viungo
MWANANCHI wa Kijiji cha Kianga Wilaya ya
Magharibi “A” Unguja akimpungia mkono na kumsalimia Mke wa Rais wa Zanzibar
ambae pia ni Mwenyekiti wa Taasisi ya Zanzibar Maisha Bora Foundation Mama
Mariam Mwinyi akiwa katika matembezi ya mazoezi ya viungo yaliofanyika leo
24-9-2022 katika eneo la regeza mwendo na kumalizikia katika viwanja vya mpira
Dole kwa mazoezi ya pamoja ya viungo
MKE wa Rais wa Zanzibar ambae pia ni Mwenyekiti
wa Taasisi ya Zanzibar Maisha Bora Foundation Mama Mariam Mwinyi akijumuika na
Wanamichezo wa vikundi mbalimbali vya Wilaya ya Magharibi “A” Unguja katika
matembelezi ya Kilomita 5.5 yaliyoazia katika eneo la regeza mwendo na
kumalizikia katika viwanja vya mpira Dole kwa mazoezi ya pamoja ya viungo
yaliyofanyika leo 24-9-2022
MKE wa Rais wa Zanzibar ambae pia ni Mwenyekiti
wa Taasisi ya Zanzibar Maisha Bora Foundation Mama Mariam Mwinyi akijumuika
katika mazoezi ya viungo baada ya kumaliza matembezi ya Kilomita 5.5 yaliyoazia
katika eneo la Regeza mwendo na kumalizika katika viwanja vya mpira Dole Wilaya
ya Magharibi “A”Unguja kwa mazoezi ya pamoja ya viungo yalioyofanyika leo
24-9-2022. (kulia) Mkuu wa Mkoa wa Majini Magharibi Unguja Mhe.Idrisa Mustafa
Kitwana na (kushoto) Mkuu wa JKU Kanali Makame Abdalla Daima.
MKE wa Rais wa Zanzibar ambae pia ni Mwenyekiti
wa Taasisi ya Zanzibar Maisha Bora Foundation Mama Mariam Mwinyi akijumuika
katika mazoezi ya viungo baada ya kumaliza matembezi ya Kilomita 5.5 yaliyoazia
katika eneo la Regeza mwendo na kumalizika katika viwanja vya mpira Dole Wilaya
ya Magharibi “A”Unguja kwa mazoezi ya pamoja ya viungo yalioyofanyika leo
24-9-2022. (kulia) Mkuu wa Mkoa wa Majini Magharibi Unguja Mhe.Idrisa Mustafa
Kitwana na Waziri wa Habari,Vijana Utamaduni na Michezo Zanzibar Mhe. Tabia
Maulid Mwita na (kushoto) Mkuu wa JKU
Kanali Makame Abdalla Daima
MWANANCHI wa Kijiji cha Kianga Wilaya ya
Magharibi “A” Unguja akimpungia mkono na kumsalimia Mke wa Rais wa Zanzibar
ambae pia ni Mwenyekiti wa Taasisi ya Zanzibar Maisha Bora Foundation Mama
Mariam Mwinyi akiwa katika matembezi ya mazoezi ya viungo yaliofanyika leo
24-9-2022 katika eneo la regeza mwendo na kumalizikia katika viwanja vya mpira
Dole kwa mazoezi ya pamoja ya viungo
WAZIRI wa Habari Vijana Utamaduni na Michezo
Zanzibar Mhe.Tabia Maulid Mwita akizungumza na Wanamichezo wa Vikundi vya
mazoezi ya Viungo wa Wilaya ya Magharibi “A”Unguja, baada ya kumaliza matembezi
na mazoezi ya viungo katika viwanja vya mpira Dole, kabla ya kumkaribisha Mke
wa Rais wa Zanzibar ambae pia ni Mwenyekiti wa Taasisi ya Zanzibar Maisha Bora
Foundation Mama Mariam Mwinyi kuzungumza
MKE wa Rais wa Zanzibar ambae pia ni Mwenyekiti
wa Taasisi ya Zanzibar Maisha Bora Foundation Mama Mariam Mwinyi akizungumza na
Wanamichezo wa Vikundi vya mazoezi ya viungo wa Wilaya ya Magharibi “A” Unguja
baada ya kumaliza matembezi ya Kilomita 5.5 na mazoezi ya pamoja ya viungo yaliyofanyika
katika viwanja vya mpira Dole leo 24-9-2022
WANAMICHEZO wa Vikundi vya mazoezi ya viungo wa
Wilaya ya Magharibi “A”Unguja w akimsikiliza Mke wa Rais wa Zanzibar ambae pia
ni Mwenyekiti wa Taasisi ya Zanzibar Maisha Bora Foundation Mama Mariam Mwinyi
akizungumza na kutowa nasaha zake kwao baada ya kumaliza mazoezi ya pamoja ya
viungo baada ya kumaliza matembezi ya Kilomita 5.5 yalioazia katika eneo la
Regeza mwendo hadi viwanja vya mpira vya Dole leo 24-9-2022.
WANAMICHEZO wa Vikundi vya mazoezi ya viungo wa
Wilaya ya Magharibi “A”Unguja w akimsikiliza Mke wa Rais wa Zanzibar ambae pia
ni Mwenyekiti wa Taasisi ya Zanzibar Maisha Bora Foundation Mama Mariam Mwinyi
akizungumza na kutowa nasaha zake kwao baada ya kumaliza mazoezi ya pamoja ya
viungo baada ya kumaliza matembezi ya Kilomita 5.5 yalioazia katika eneo la
Regeza mwendo hadi viwanja vya mpira vya Dole leo 24-9-2022.
WANAMICHEZO wa Vikundi vya mazoezi ya viungo wa
Wilaya ya Magharibi “A”Unguja w akimsikiliza Mke wa Rais wa Zanzibar ambae pia
ni Mwenyekiti wa Taasisi ya Zanzibar Maisha Bora Foundation Mama Mariam Mwinyi
akizungumza na kutowa nasaha zake kwao baada ya kumaliza mazoezi ya pamoja ya
viungo baada ya kumaliza matembezi ya Kilomita 5.5 yalioazia katika eneo la
Regeza mwendo hadi viwanja vya mpira vya Dole leo 24-9-2022.
No comments:
Post a Comment