Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na
Balozi wa Jamhuri ya Watu wa China Mhe. Chen Mingjian mara baada ya kuwasili
Ikulu Jijini Dar es Salaam
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye
mazungumzo na Balozi wa Jamhuri ya Watu wa China Mhe. Chen Mingjian mara baada
ya kuwasili Ikulu Jijini Dar es Salaam
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akipokea zawadi ya
kitabu kutoka Balozi wa Jamhuri ya Watu wa China Mhe. Chen Mingjian mara baada
ya mazungumzo yao Ikulu Jijini Dar es Salaam
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa
kwenye picha ya pamoja na Balozi wa Jamhuri ya Watu wa China Mhe. Chen Mingjian
mara baada mazungumzo yao Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 01 Oktoba, 2022.
PICHA NA IKULU.
No comments:
Post a Comment