Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Mwakilishi mpya wa Benki ya Dunia nchini Tanzania, Malawi, Zambia na Zimbabwe Bw. Natham Belete mara baada ya kuwasili Ikulu ndogo Jijini Arusha tarehe, 25 Novemba, 2022
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa katika Picha ya pamoja na Mwakilishi mpya wa Benki ya Dunia nchini Tanzania, Malawi, Zambia na Zimbabwe Bw. Natham Belete pamoja na Ujumbe wake mara baada ya kumalizika kwa mazungumzo yao Ikulu ndogo Jijini Arusha tarehe, 25 Novemba, 2022.
WAJA ATEMBELEA BARABARA ZILIZOATHIRIWA NA MVUA GEITA, ATOA MATUMAINI.
-
Na Nasra Ismail, Geita
Wananchi wa Mitaa ya Magogo Ibolelo na 14 Kambarage, Kata ya Buhalahala,
Manispaa ya Geita, wamemuomba Mbunge wa Jimbo la Geita Mj...
56 minutes ago
.jpg)
.jpg)
0 Comments