Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Mwakilishi mpya wa Benki ya Dunia nchini Tanzania, Malawi, Zambia na Zimbabwe Bw. Natham Belete mara baada ya kuwasili Ikulu ndogo Jijini Arusha tarehe, 25 Novemba, 2022
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa katika Picha ya pamoja na Mwakilishi mpya wa Benki ya Dunia nchini Tanzania, Malawi, Zambia na Zimbabwe Bw. Natham Belete pamoja na Ujumbe wake mara baada ya kumalizika kwa mazungumzo yao Ikulu ndogo Jijini Arusha tarehe, 25 Novemba, 2022.
TBS YAPATA TUZO YA MDHIBITI BORA 2025 KATIKA TUZO ZA UBUNIFU UTUMISHI WA
UMMA
-
DAR ES SALAAM – Shirika la Viwango Tanzania (TBS) limetangazwa kuwa
Mdhibiti Bora wa Mwaka katika Tuzo za Ubunifu katika Utumishi wa Umma
(PSIA) 2025, kwa ...
34 minutes ago
.jpg)
.jpg)
0 Comments