RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na Naibu Waziri wa Kilimo wa
Serikali ya Marekani Dkt.Jewel Hairston Bronaugh alipofika Ikulu Jijini
Zanzibar na Ujumbe wake kwa mazungumzo yaliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu leo
4-11-2022
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akimsikiliza mgeni wake Naibu Waziri wa
Kilimo wa Serikali ya Marekani Dkt.Jewel Hairston Bronaugh alipofika Ikulu
Jijini Zanzibar na ujumbe wake kwa mazungumzo yaliyofanyika katika ukumbi wa
Ikulu leo 4-11-2022
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na Naibu Waziri wa Kilimo wa
Serikali ya Marekani Dkt.Jewel Hairston Bronauagh alipofika Ikulu Jijini
Zanzibar na Ujumbe wake kwa mazungumzo yaliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu leo
4-11-2022
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na Naibu Waziri wa Kilimo wa
Serikali ya Marekani Dkt.Jewel Hairston Bronauagh alipofika Ikulu Jijini
Zanzibar na Ujumbe wake kwa mazungumzo yaliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu leo
4-11-2022
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akimkabidhi zawadi maalum ya Mlango wa
Zanzibar mgeni wake Naibu Waziri wa Kilimo wa Serikali ya Marekani Dkt.Jewel
Hairston Bronaugh, baada ya kumaliza mazungumzo yao yaliyofanyika katika ukumbi
wa Ikulu Jijini Zanzibar leo 4-11-2022
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiagana na mgeni wake Naibu Waziri wa Kilimo
wa Serikali ya Marekani Dkt.Jewel Hairston Bronaugh, alipofika Ikulu Zanzibar
kwa mazungumzo yaliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar leo
4-11-2022
No comments:
Post a Comment