Habari za Punde

Ufunguzi wa mkutano wa Rais na mabalozi wanaoiwakilisha Tanzania nje ya nchi Hotel Verde Mtoni Zanzibar

NAIBU Waziri wa Mambo ya Nje na ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Mbarouk Nassor Mbarouk akifungua mkutano wa Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na mabalozi wanaoiwakilisha Tanzania nje ya nchi kwa niaba ya Waziri wa wizara hiyo, Dk. Stergomena Tax ulifanyika katika Hotel Verde Mtoni Zanzibar.(PICHA NA HAROUB HUSSEIN).

KATIBU Mkuu wa Wizara ya mambo ya Nje na ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Joseph Edward Sokoine akizungumza katika ufunguzi wa mkutano wa Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na mabalozi wanaoiwakilisha Tanzania nje ya Nchi uliofanyika Hotel Verde Mtoni Zanzibar. (PICHA NA HAROUB HUSSEIN).

NAIBU Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Nje na ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Fatma Mohammed Rajab akizungumza katika ufunguzi wa mkutano wa Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na mabalozi wanaoiwakilisha Tanzania nje ya Nchi uliofanyika Hotel Verde Mtoni Zanzibar.(PICHA NA HAROUB HUSSEIN).

MABALOZI wa Tanzania nje ya Nchi wakiwa katika mkutano wa Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na mabalozi hao uliofanyika Hotel Verde Mtoni Zanzibar.(PICHA NA HAROUB HUSSEIN).

: MABALOZI wa Tanzania nje ya Nchi wakiwa katika mkutano wa Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na mabalozi hao uliofanyika Hotel Verde Mtoni Zanzibar.(PICHA NA HAROUB HUSSEIN).

MABALOZI wa Tanzania nje ya Nchi wakiwa katika mkutano wa Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na mabalozi hao uliofanyika Hotel Verde Mtoni Zanzibar.(PICHA NA HAROUB HUSSEIN).

MABALOZI wa Tanzania nje ya Nchi wakiwa katika mkutano wa Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na mabalozi hao uliofanyika Hotel Verde Mtoni Zanzibar.(PICHA NA HAROUB HUSSEIN).

BALOZI wa Tanzania nchini China, Mbelwa Kairuki akizungumza katika mkutano wa Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na mabalozi wanaoiwakilisha Tanzania nje ya Nchi uliofanyika Hotel Verde Mtoni Zanzibar.(PICHA NA HAROUB HUSSEIN).

Balozi wa Tanzania nchini Italy, Mahmoud Thabit Kombo akizungumza katika mkutano wa Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na mabalozi wanaoiwakilisha Tanzania nje ya Nchi uliofanyika Hotel Verde Mtoni Zanzibar.(PICHA NA HAROUB HUSSEIN).

BALOZI wa Tanzania nchini Geneva, Hoyce Temu akizungumza katika mkutano wa Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na mabalozi wanaoiwakilisha Tanzania nje ya Nchi uliofanyika Hotel Verde Mtoni Zanzibar.(PICHA NA HAROUB HUSSEIN).
MSAIDIZI BALOZI wa kudumu wa Tanzania Umoja wa mataifa, Dr Suleiman Haji Suleiman akizungumza katika mkutano wa Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na mabalozi wanaoiwakilisha Tanzania nje ya Nchi uliofanyika Hotel Verde Mtoni Zanzibar.(PICHA NA HAROUB HUSSEIN).

BALOZI wa Tanzania nchini Qatar, Mahadhi Juma Maalim akizungumza katika mkutano wa Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na mabalozi wanaoiwakilisha Tanzania nje ya Nchi uliofanyika Hotel Verde Mtoni Zanzibar.(PICHA NA HAROUB HUSSEIN).

 

 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.