Habari za Punde

Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Ambae pia ni Rais wa Zanzibar Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi Amehudhuria Kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM (NEC) White House Dodoma leo 6-12-2022

MJUMBE wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa ambae pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwasili katika viwanja vya White House Jijini Dodoma,kuhudhuria Kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM Taifa, kilichofanyika katika ukumbi huo na kuongozwa na Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) ambae pia ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt.Samia Suluhu Hassan, na (kushoto kwa Rais) Naibu Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar Dkt.Abdalla Juma Sadala
WAJUMBE wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa wakiwa katika ukumbi wa mkutano wa White House Jijini Dodoma, wakisoma makabrasha ya Kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM (NEC) kabla ya kuaza kwa Kikao hicho kilichoongozwa na Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) ambae pia ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt.Samia Suluhu Hassan,kilichofanyika leo 6-12-2022 katika ukumbi wa White House ( kutoka Kulia) Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM ambae pia ni Makamu wa Rais wa Tanzania Mhe.Dkt.Philip Mpango, Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa ambae pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi, Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa ambae pia ni Waziri Mkuu wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa na Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa ambae pia ni Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Hemed Suleiman Abdulla
WAJUMBE wa Kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM Taifa wakiwa katika ukumbi wa White House Jijini Dodoma, wakati Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) ambae pia ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt.Samia Suluhu Hassan alipowasili katika ukumbi kwa ajili ya kuongoza Kikao hicho kilichofanyika leo 6-12-2022.

Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM)Taifa ambae pia ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ndugu Dkt. Samia Suluhu Hassan akiongoza Kikao cha Halmashauri Kuu ya Chama cha Mapinduzi CCM (NEC) kilichofanyika katika Ukumbi wa Halmashauri Kuu Makao Makuu ya Chama Cha Mapinduzi CCM White House Jijini Dodoma

Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM)Taifa ambae pia ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ndugu Dkt. Samia Suluhu Hassan akiongoza Kikao cha Halmashauri Kuu ya Chama cha Mapinduzi CCM (NEC) kilichofanyika katika Ukumbi wa Halmashauri Kuu Makao Makuu ya Chama Cha Mapinduzi CCM White House Jijini Dodoma
WAJUMBE wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa wakiwa katika ukumbi wa mkutano wa White House Dodoma, wakifuatilia hutuba ya ufunguzi wa Kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM Taifa wakati Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) ambae pia ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt.Samia Suluhu Hassan akifungua Kikao hicho leo 6-12-2022 katika ukumbi wa White House ( kutoka Kulia) Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM ambae pia ni Makamu wa Rais wa Tanzania Mhe.Dkt.Philip Mpango, Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa ambae pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi, Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa ambae pia ni Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa na Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa ambae pia ni Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Hemed Suleiman Abdulla.

WAJUMBE wa Kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM Taifa wakiwa katika ukumbi wa White House Jijini Dodoma, wakimsikiliza Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) ambae pia ni Rais wa Jamhuri wa Tanzania Mhe.Dkt.Samia Suluhu Hassan, akifungua Kikao hicho katika ukumbi wa White House Dodoma 
WAJUMBE wa Kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM Taifa wakiwa katika ukumbi wa White House Jijini Dodoma, wakimsikiliza Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) ambae pia ni Rais wa Jamhuri wa Tanzania Mhe.Dkt.Samia Suluhu Hassan, akifungua Kikao hicho katika ukumbi wa Whitev House Dodoma leo 6-12-2022
WAJUMBE wa Kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM Taifa wakiwa katika ukumbi wa White House Jijini Dodoma, wakimsikiliza Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) ambae pia ni Rais wa Jamhuri wa Tanzania Mhe.Dkt.Samia Suluhu Hassan, akifungua Kikao hicho katika ukumbi wa Whitev House Dodoma leo 6-12-2022.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.