RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi
akimsikiliza Dkt.Rajab Mohammed Bilal,wakati
akitembelea banda la maonyesho la Kitengo cha Macho la Wizara ya Afya
Zanzibar , katika viwanja vya Chuo Cha Utalii Maruhubi Wilaya ya Mjini Unguja,
wakati wa sherehe za kumpongeza kwa kutimia miaka miwili ya uongozi wake
zilizoandaliwa na Wauguzi Zanzibar katika ukumbi wa Chuo hicho Maruhubi leo
20-12-2022, na (kulia kwa Rais) Waziri wa Afya Zanzibar Mhe. Nassor Ahmed Mazrui
na (kushoto kwa Rais) Naibu Waziri wa Afya Zanzibar Mhe. Hassan K.Hafidh

RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi
akimsikiliza Dkt.Ramadhan Mikidadi Suleiman wa Kitengo cha Chanjo ya Korona
Zanzibar , wakati akitembelea maonesho ya sherehe ya kumpongeza kwa kutimiza
miaka miwili ya uongozi wake, iliyoandaliwa na Wauguzi Zanzibar,katika ukumbi
wa Chuo cha Utalii Maruhubi Wilaya ya Mjini Unguja na (kulia kwa Rais) Waziri
wa Afya Zanzibar Mhe.Nassor Ahmed Mazrui na Mkuu wa Wilaya ya Mjini Unguja Mhe.Rashid
Simai Msaraka.RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi
akimsikiliza Bi.Rabia Mzee Mataka wa Kitengo cha Shirikishi cha Afya na Uzazi Zanzibar, wakati akitembelea
maonesho ya sherehe ya kumpongeza kwa kutimiza miaka miwili ya uongozi wake,
iliyoandaliwa na Wauguzi Zanzibar,katika ukumbi wa Chuo cha Utalii Maruhubi
Wilaya ya Mjini Unguja na (kulia kwa Rais) Waziri wa Afya Zanzibar Mhe.Nassor Ahmed
Mazrui na Mkuu wa Wilaya ya Mjini Unguja Mhe.Rashid Simai Msaraka
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akimsikiliza Dkt.Maryam Mohammede Mtumwa wa Kitengo cha Maradhi Yasiyoambukiza Zanzibar,wakati akitembelea maonesho ya sherehe ya kumpongeza kwa kutimiza miaka miwili ya uongozi wake, iliyoandaliwa na Wauguzi Zanzibar,katika ukumbi wa Chuo cha Utalii Maruhubi Wilaya ya Mjini Unguja na (kulia kwa Rais) Waziri wa Afya Zanzibar Mhe.Nassor Ahmed Mazrui na Mkuu wa Wilaya ya Mjini Unguja Mhe.Rashid Simai Msaraka
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwa katika ukumbi wa Chuo cha Utalii Maruhubi Unguja wakati ukipigwa wimbo wa Taifa kabla ya kuaza kwa sherehe ya kumpongeza kutimiza miaka miwili ya Uongozi wake iliyoandaliwa na Wauguzi wa Zanzibar leo 20-12-2022 kwa kumpongeza. (kushoto kwa Rais) Mwenyekiti wa Baraza la Wauguzi Zanzibar Prof. Amina
Abdulkadir Ali na Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Mjini Kichama Ndg.Tali Ali Talib na (kulia kwa Rais) Waziri wa Afya Zanzibar Mhe.Nassor Ahmed Mazrui, Naibu Waziri wa Afya Zanzibar Mhe. Hassan K.Hafidh na Kadhi Mkuu wa Zanzibar Sheikh Saleh Omar Kabi.



WAUGUZI
Zanzibar wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi
Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) wakati wa sherehe za kumpongeza kwa
kutimiza miaka miwili ya Uongozi zilizofanyika katika ukumbi wa Chuo cha Utalii
Maruhubi Unguja Jijini Zanzibar leo 20-12-2022

WAUGUZI
Zanzibar wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi
Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) wakati wa sherehe za kumpongeza kwa
kutimiza miaka miwili ya Uongozi zilizofanyika katika ukumbi wa Chuo cha Utalii
Maruhubi Unguja Jijini Zanzibar leo 20-12-2022.
RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi
akikabidhiwa TUZO Maalum ya Kutimiza Miaka Miwili ya Uongozi wake,iliyotolewa
na Wauguzi Zanzibar akikabidhiwa na Muunguzi Bi. Maryam Rashid Suleiman, wakati
wa sherehe za kumpongeza zilizofanyika katika ukumbi wa Chuo cha Utalii
Maruhubi Unguja leo 20-12-2022, na (kulia kwa Muunguzi) Waziri wa Afya Zanzibar
Mhe.Nassor Ahmed Mazrui na (kushoto kwa Rais) Mkuu wa Wilaya ya Mjini Unguja
Mhe.Rashid Simai Msaraka
RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi
akikata keki maalum ya kumpongeza kwa kutimia miaka miwili ya Uongozi wake,
wakati wa sherehe za kumpongeza zilizoandaliwa na Wauguzi Zanzibar katika
ukumbi wa Chuo cha Utalii Maruhubi Unguja Jijini Zanzibar leo 20-12-2022, na
(kulia kwa Rais) Muunguzi Bi. Maimuna Ibrahim, Waziri wa Afya Zanzibar Mhe.
Nassor Ahmed Mazrui na Naibu Waziri wa Afya Zanzibar Mhe. Hassan K. Hafidh na (kushoto
kwa Rais) Mkuu wa Wilaya ya Mjini Mhe. Rashid Simai Msaraka na Mwenyekiti wa Baraza la Wauguzi
Zanzibar Prof. Amina Abdulkadir Ali
RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi
akikata keki maalum ya kumpongeza kwa kutimia miaka miwili ya Uongozi wake,
wakati wa sherehe za kumpongeza zilizoandaliwa na Wauguzi Zanzibar katika
ukumbi wa Chuo cha Utalii Maruhubi Unguja Jijini Zanzibar leo 20-12-2022, na
(kulia kwa Rais) Muunguzi Bi. Maimuna Ibrahim, Waziri wa Afya Zanzibar Mhe.
Nassor Ahmed Mazrui na (kushoto kwa Rais) Mkuu wa Wilaya ya Mjini Mhe. Rashid
Simai Msaraka na Mwenyekiti wa Baraza la Wauguzi Zanzibar Prof. Amina
Abdulkadir Ali.
No comments:
Post a Comment