Mshambuliaji wa Timu ya Yanga Dickson Ambundo akijaribu kumpita beki wa Timu ya KMKM, katika mchezo wa kuwania Kombe la Mapinduzi uliofanyika jana usiku katika Uwanja wa Amaan.Timu ya Yanga imeshinda kwa bao 1--0.
Serikali Yatajivunia Mafanikio ya Maboresho ya Bandari ya Dar es Salaam
Katika Siku 100 za Uongozi wa Rais Samia
-
Na Avila Kakingo, Michuzi Tv
MSEMAJI wa Serikali na Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na
Michezo, Gerson Msigwa, amesema Serikali ya Awam...
7 hours ago
0 Comments