Mshambuliaji wa Timu ya Yanga Dickson Ambundo akijaribu kumpita beki wa Timu ya KMKM, katika mchezo wa kuwania Kombe la Mapinduzi uliofanyika jana usiku katika Uwanja wa Amaan.Timu ya Yanga imeshinda kwa bao 1--0.
Mtia nia ya Ubunge Kigamboni Aweka Mahitaji ya Wanakigamboni
-
Na Mwandishi Wetu
KADA wa Chama cha Mapinduzi (CCM) na Mwenyekiti wa CCM Kata ya Kibada
Wilaya ya Kigamboni Dkt.Nazar Kirama amerudisha fomu ya kuomba ...
15 minutes ago
No comments:
Post a Comment