Waziri Mkuu Kassim Majaliwa (kushoto) akimsikiliza Kamishna Msaidizi wa Polisi Mhandisi Fadhili Majid Ishekazoba (wa tatu kulia) wakati wa uzinduzi wa Kituo Kikuu cha Polisi cha Wilaya ya Ruangwa, kilichopo Ruangwa Mkoa wa Lindi, Disemba 31, 2022. kushoto ni Naibu Waziri Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi Jumanne Sagini, wa pili kulia ni Mkuu wa Mkoa wa Lindi Zainab Telack
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa (wa kwanza kulia) akifungua kitambaa kuashirikia uzinduzi wa Kituo Kikuu cha Polisi cha Wilaya ya Ruangwa, kilichopo Ruangwa Mkoa wa Lindi, Disemba 31, 2022. kushoto ni Naibu Waziri Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi Jumanne Sagini, wa pili kulia ni Mkuu wa Mkoa wa Lindi Zainab Telack, Mkuu wa Wilaya ya Lindi Hassan Ngoma (kulia), Wengine ni Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Lindi Hassan Jarufu (wa pili kushoto) na Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Ruangwa Ibrahim Ndoro (kushoto)
No comments:
Post a Comment