Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu(Sera Bunge na Uratibu)George Boniface Simbachawene akikunjuwa Kitambaa kuashiria Uwekaji wa Jiwe la Msingi Kituo cha Afya Mama na Mtoto kilichojengwa na TASAF Uzi Wilaya ya Kati Unguja .Ikiwa ni Shamra Shamra za Miaka 59 ya Mapinduzi ya Zanzibar.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu(Sera Bunge na Uratibu)George Boniface Simbachawene (Kulia)akipata maelezo kutoka kwa Injinia Ali Makame Ali kuhusiana na Ujenzi katika hafla ya Uwekaji wa Jiwe la Msingi Kituo cha Afya Mama na Mtoto kilichojengwa na TASAF Uzi Wilaya ya Kati Unguja .Ikiwa ni Shamra Shamra za Miaka 59 ya Mapinduzi ya Zanzibar.
Mkurugenzi Mtendaji wa TASAF Ladislaus Mwamanga akitoa maelezo kuhusu Ujenzi wa Kituo cha Afya Mama na Mtoto katika hafla ya Uwekaji wa Jiwe la Msingi Kituo hicho kilichojengwa na TASAF Uzi Wilaya ya Kati Unguja .Ikiwa ni Shamra Shamra za Miaka 59 ya Mapinduzi ya Zanzibar.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu(Sera Bunge na Uratibu)George Boniface Simbachawene akitoa hotuba katika hafla ya Uwekaji wa Jiwe la Msingi Kituo Cha Afya Mama na Mtoto kilichojengwa na TASAF Uzi Wilaya ya Kati Unguja .Ikiwa ni Shamra Shamra za Miaka 59 ya Mapinduzi ya Zanzibar.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu(Sera Bunge na Uratibu)George Boniface Simbachawene akisisitiza jambo wakati akitoa hotuba katika hafla ya Uwekaji wa Jiwe la Msingi Kituo Cha Afya Mama na Mtoto kilichojengwa na TASAF Uzi Wilaya ya Kati Unguja .Ikiwa ni Shamra Shamra za Miaka 59 ya Mapinduzi ya Zanzibar.
PICHA N A YUSSUF SIMAI/MAELEZO ZANZIBAR.
No comments:
Post a Comment