6/recent/ticker-posts

Wanafunzi wa KIST Wakiendelea na Mitihani ya Vitendo

Wanafunzi wa Taasisi ya Sayansi na Teknolojia ya Karume (KIST), wanaosoma fani ya Mechanical Engineering Diploma mwaka wa Pili, wakifanya Mtihani wa Vitendo  jinsi ya kuchoma vyuma ili kutengeneza maumbo mbali mbali  ikiwa ni miongoni mwa mitihani inayoendelea  katika Taasisi ya karume .


Wanafunzi wa Taasisi ya Sayansi na Teknolojia ya Karume (KIST), wanaosoma fani ya Automotive Engeering Diploma mwaka wa Pili, wakifanya Mtihani wa Vitendo  jinsi ya kutengeneza Gari ikiwa ni miongoni mwa mitihani inayoendelea  katika Taasisi ya karume .


Post a Comment

0 Comments