Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Spika wa Bunge la
Jumuiya ya Afrika Mashariki (EALA) Mhe. Joseph Ntakirutimana mara baada ya
kuwasili Ikulu ndogo ya Arusha tarehe 03 Machi, 2023.
Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye mazungumzo na Spika
wa Bunge la Jumuiya ya Afrika Mashariki (EALA) Mhe. Joseph Ntakirutimana
aliyeambatana na ujumbe wake Ikulu ndogo ya Arusha tarehe 03 Machi, 2023.
Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na
Spika wa Bunge la Jumuiya ya Afrika Mashariki (EALA) Mhe. Joseph Ntakirutimana
mara baada ya Mazungumzo Ikulu Ndogo Jijini Arusha.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Dkt. Stergomena Tax watatu kutoka (kulia) Spika wa Bunge la Jumuiya ya Afrika Mashariki (EALA) Mhe. Joseph Ntakirutimana watatu kutoka (kushoto) pamoja na Wajumbe aliombatana nao katika Ikulu Ndogo ya Arusha tarehe 03 Machi, 2023.
No comments:
Post a Comment