Habari za Punde

Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar Alhajj Dk.Hussein Mwinyi Amejumuika Katika Futari Maalum Aliyowaandalia Watendaji na Wazee wa CCM Zanzibar

Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar ambae pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na Viongozi wa CCM Zanzibar alipowasili katika viwanja vya Afisi Kuu ya CCM Kisiwandui Unguja Jijini Zanzibar jana 17-4-2023, kuhudhuria futari maalum aliyowaandalia Viongozi wa CCM na Wazee wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar.

Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar ambae pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akijumuika na Viongozi wa CCM na Wazee wa CCM Zanzibar katika futari maalum aliyowaandalia katika ukumbi wa Afisi Kuu ya CCM Kisiwandui Wilaya ya Mjini Unguja Jijini Zanzibar (kushoto kwa Rais) Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Alhajj Hemed Suleiman Abdulla na (kulia kwa Rais) Naibu Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar Dkt. Mohammed Said Dimwa na Spika wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar Mhe. Zuberi Ali Maulid. 

Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM)Zanzibar ambae pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na kuwasalimia Viongozi na Watendaji wa CCM na Wazee wa CCM Zanzibar, baada ya kumalizika kwa hafla ya Futari Maalum aliyowaandalia katika ukumbi wa Afisi Kuu ya CCM Kisiwandui Wilaya ya Mjini Unguja jana 17-4-2023, na (kushoto kwa Rais) Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Alhaj Hemed Suleiman Abdulla na(kulia kwa Rais) Naibu Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar Dkt. Mohammed Said Dimwa.  
Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM)Zanzibar ambae pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na kuwasalimia Viongozi na Watendaji wa CCM na Wazee wa CCM Zanzibar, baada ya kumalizika kwa hafla ya Futari Maalum aliyowaandalia katika ukumbi wa Afisi Kuu ya CCM Kisiwandui Wilaya ya Mjini Unguja jana 17-4-2023
Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM)Zanzibar ambae pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akishirikikatika kuitikia dua ikisomwa na Naibu Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh Mahmoud Mussa Wadi (hayupo pichani) baada ya kumalizika kwa Futari Maalum aliyowaandalia Watendaji na Wazee wa CCM Zanzibar, iliyofanyika katika ukumbi wa Afisi Kuu ya CCM Kisiwandui Wilaya ya Mjini Unguja Jijini Zanzibar jana 17-4-2023, na (kushoto kwa Rais) Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Alhaj Hemed Suleiman Abdulla na(kulia kwa Rais) Naibu Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar Dkt. Mohammed Said Dimwa.  
Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM)Zanzibar ambae pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akishirikikatika kuitikia dua ikisomwa na Naibu Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh Mahmoud Mussa Wadi, baada ya kumalizika kwa Futari Maalum aliyowaandalia Watendaji na Wazee wa CCM Zanzibar, iliyofanyika katika ukumbi wa Afisi Kuu ya CCM Kisiwandui Wilaya ya Mjini Unguja  Jijini Zanzibar jana 17-4-2023, na (kushoto kwa Rais) Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Alhaj Hemed Suleiman Abdulla na(kulia kwa Rais) Naibu Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar Dkt. Mohammed Said Dimwa.  
Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM)Zanzibar ambae pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akishirikikatika kuitikia dua ikisomwa na Naibu Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh Mahmoud Mussa Wadi (hayupo pichani) baada ya kumalizika kwa Futari Maalum aliyowaandalia Watendaji na Wazee wa CCM Zanzibar, iliyofanyika katika ukumbi wa Afisi Kuu ya CCM Kisiwandui Wilaya ya Mjini Jijini Zanzibar jana 17-4-2023, na (kushoto kwa Rais) Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Alhaj Hemed Suleiman Abdulla na(kulia kwa Rais) Naibu Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar Dkt. Mohammed Said Dimwa.  





Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mariam Mwinyi (katikati) akiwa na Viongozi wengine katika  futari iliyoandaliwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi,kwa Wazee wa Chama cha Mapinduzi CCM katika Ukumbi wa Ofisi Kuu ya CCM Kisiwandui Jijini Zanzibar jana
 Wazee wa Baraza la Wazee wa Chama cha Mapinduzi CCM wakiwa katika futari iliyoandaliwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi,kwa Wazee hao   katika Ukumbi wa Ofisi Kuu ya CCM Kisiwandui Jijini Zanzibar jana.
Baadhi ya Viongozi wa Jumuiya ya Wanawake wakiwa katika futari  iliyoandaliwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi,kwa Wazee wa Chama cha Mapinduzi CCM katika Ukumbi wa Ofisi Kuu ya CCM Kisiwandui Jijini Zanzibar jana
Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mariam Mwinyi (katikati) na Viongozi wengine wakiitikia dua iliyoombwa baada ya kupata futari  iliyoandaliwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi,kwa Wazee wa Chama cha Mapinduzi CCM katika Ukumbi wa Ofisi Kuu ya CCM Kisiwandui Jijini Zanzibar jana

Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mariam Mwinyi (kushoto) akiagana na Bibi. Mtumwa Fikirini (kulia) pamoja na Wazeewengine mara baada ya   kupata futari  iliyoandaliwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi,kwa Wazee wa Chama cha Mapinduzi CCM katika Ukumbi wa Ofisi Kuu ya CCM Kisiwandui Jijini Zanzibar jana.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.