Habari za Punde

Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Mwinyi Ameaza Ziara Yake ya Kichama Kukagua Mali Zanzibar

Viongozi wa Mbalimbali wa Chama Cha Mapinduzi Ngazi ya Taifa wakisubiri kupokea Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar ambae pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi kuaza ziara yake ya Kichama kukagua Mali za Chama katika Tawi la CCM Mbweni Wilaya ya Magharibi "B"Unguja leo 7-5-2023. na kukiimarisha Chama 


MAKAMU Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar ambae pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi  akikagua eneo la Chama cha Mapinduzi lilioko katika Tawi la CCM Mbweni Wilaya ya Magharibi “B” Unguja leo 7-5-2023, akiwa katika ziara yake Kukagua Mali za Chama na(kulia kwa Rais) Katibu wa Kamati Maalum NEC Idara ya Uchumi na Fedha CCM Zanzibar  Ndg. Afadhali Taibu Afadhali
MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar  ambae pia ni Rais wa Zanzibar Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akioneshwa mipaka ya eneo la Tawi la CCM Mbweni Wilaya ya Magharibi “B” Unguja na Katibu wa Kamati Maalum ya NEC Idara ya Uchumi na Fedha CCM Zanzibar Ndg. Afadhali Taibu Afadhali (kulia kwa Rais) wakati wa ziara yake kukagua Mali za Chama Cha Mapinduzi na kukiimarisha Chama, ziara hiyo iliyofanyika leo 7-5-2023

MAKAMU Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM)Zanzibar  ambae pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwa katika ziara yake kukagua Mali cha Chama cha Mapinduzi (CCM) zilioko katika maeneo mbalimbali ya Unguja na kuimarisha Chama,  akitembelea eneo la CCM Maisara Wilaya ya Mjini leo 7-5-2023, (kulia kwa Rais) Naibu Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar Dkt. Mohammed Said Dimwa na Katibu wa Kamati Maalum ya NEC Idara ya Uchumi na Fedha Zanzibar Ndg. Afadhali Taibu Afadhali  na (kushoto kwa Rais) Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Mjini Kichama Ndg. Talib Ali Talib na Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja Mhe. Idrisa Kitwana Mustafa
MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar ambae pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi, akiwa katika ziara yake kukagua Mali za Chama Cha Mapinduzi katika  maeneo mbalimbali ya Unguja yamo katika uwekezaji CCM Maisara Wilaya ya Mjini Unguja , akizungumza na Meneja wa Hoteli ya Maisara Delux Lodge Ndg. Rumanyika Felician, wakati wa ziara yake leo 7-5-2023. na (kulia kwa Rais) Katibu  wa Kamati Maalum ya NEC Idara ya Uchumi na Fedha Zanzibar Ndg. Afadhali Taibu Afadhali, Katibu wa Kamati Maalum ya NEC Uenezi na Itikadi Zanzibar Ndg Khamis Mbeto Khamis na (kushoto kwa Rais) Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja Mhe. Idrisa Kitwana Mustafa
MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar ambae pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwa katika ziara yake kutembelia Mali za Cha Cha Mapinduzi (CCM) katika maeneo mbali mbali ya Unguja leo 7-5-2023 na kuimarisha Chama, akitembelea eneo la CCM Maisara Wilaya ya Mjini Unguja

MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar ambae pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwa katika ziara yake kukagua Mali za Chama cha Mapinduzi (CCM) katika maeneo mbalimbali Unguja na kuimarisha Chama akitembelea eneo la Kijangwani katika nyumba ilikozaliwa Chama cha Shirazi Association, inayotarajiwa kujengo jengo la Makumbusho ya Afro Shirazi na (kushoto kwa Rais) Naibu Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar Dkt. Mohammed Said Dimwa.
MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar  ambae pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Hussein Ali Mwinyi akipata maelezo ya michoro ya Jengo la Uwekezaji la Chama Cha Mapinduzi katika eneo la Kijangwani katika nyumba ilikozaliwa Chama cha Shirazi Association, wakati Katibu wa Kamati Maalum ya NEC Idara ya Fedha na Uchumi Zanzibar Ndg. Afadhali Taibu Afadhali (kushoto kwa Rais) na (kulia kwa Rais) Naibu Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar Dkt. Mohammed Said Dimwa na Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja Mhe.Idrisa Kitwana Mustafa, akiwa katika ziara yake kukagua Mali za CCM na kuimarisha Chama
MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar  ambae pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Hussein Ali Mwinyi akipata maelezo ya michoro ya Jengo la Uwekezaji la Chama Cha Mapinduzi katika eneo la Kijangwani katika nyumba ilikozaliwa Chama cha Shirazi Association, wakati Katibu wa Kamati Maalum ya NEC Idara ya Fedha na Uchumi Zanzibar Ndg. Afadhali Taibu Afadhali (kushoto kwa Rais) na (kulia kwa Rais) Naibu Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar Dkt. Mohammed Said Dimwa na Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja Mhe.Idrisa Kitwana Mustafa, akiwa katika ziara yake kukagua Mali za CCM na kuimarisha Chama
MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar  ambae pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi, akizungumza na Wananchi wa Jimbo la Kwani Zanzibar wakati wa ziara yake kukagua Mali za CCM katika maeneo mbalimbali ya Unguja leo 7-5-2023, akiwa katika eneo la Kijangwani Wilaya ya Mjini Unguja
MAKAMU Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar ambae pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akimsikiliza Katibu wa Kamati Maalum ya NEC Idara ya Uchumi na Fedha CCM Zanzibar Ndg. Afadhali Taibu Afadhali, akisoma maelezo ya uwekezaji wa Kituo cha Mafuta Kinazini Wilaya ya Mjini Unguja, wakati wa ziara yake kukagua Mali za CCM katika maeneo mbalimbali ya Unguja iliyofanyika leo 7-5-2023 na kuimarisha Chama na (kushoto kwa Rais) Naibu Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar Dkt. Mohammed Said Dimwa na (kulia kwa Rais) Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Mjini Kichama Ndg. Talib Ali Talib.
MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar  ambae pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza wakati wa ziara yake kukagua Mali za CCM maeneo mbalimbali ya Unguja, akiwa katika eneo la Kinazini lililoekezwa Kituo cha Mafuta na (kushoto kwa Rais) Naibu Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar Dkt. Mohammed Said Dimwa na (kulia kwa Rais) Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Mjini Kichama Ndg. Talib Ali Talib na Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Taifa Ndg. Mohammed Aboud Mohammed


MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar  ambae pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiagana na Naibu Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar Dkt. Mohammed Said Dimwa na Viongozi mbalimbali wa CCM, baada ya kumaliza ziara yake kukagua Mali za Chama katika maeneo mbalimbali ya Unguja katika Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja leo 7-5-2023
 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.