Menaja Uhusiano wa Elimu kwa Mamlaka ya Masoko na Mitaji (CMSA) Ndg.Charles Shirima akizungumza katika ufunguzi wa Mafunzo kwa Wajasiliamali na Wanaotowa Elimu kwa Wajasiliamani Zanzibar, mafunzo hayo yaliyofanyika katika Ukumbi wa Chuo cha Utalii Maruhubi Wilaya ya Mjini Unguja Jijini Zanzibar.
Menaja Uhusiano wa Elimu kwa Mamlaka ya Masoko na Mitaji (CMSA) Ndg.Charles Shirima akizungumza na Wajasiriamali na Wanaotowa Elimu kwa Wajasiriamali Zanzibar, mafunzo hayo yaliyotolewana (CMSA) katika Ukumbi wa Chuo cha Utalii Maruhubi Wilaya ya Mjini Unguja Jijini Zanzibar.
JUBILEE INSURANCE WAZINDUA OFİSİ YAO MPYA FAYKAT TOWER
-
Na Mwandishi Wetu
JUBILEE Insurance (Jubilee Life na Jubilee Health) leo Novemba 17,2025
wamezindua rasmi ofisi yao mpya iliyopo ghorofa ya tatu jengo l...
6 hours ago

No comments:
Post a Comment