Menaja Uhusiano wa Elimu kwa Mamlaka ya Masoko na Mitaji (CMSA) Ndg.Charles Shirima akizungumza katika ufunguzi wa Mafunzo kwa Wajasiliamali na Wanaotowa Elimu kwa Wajasiliamani Zanzibar, mafunzo hayo yaliyofanyika katika Ukumbi wa Chuo cha Utalii Maruhubi Wilaya ya Mjini Unguja Jijini Zanzibar.
Menaja Uhusiano wa Elimu kwa Mamlaka ya Masoko na Mitaji (CMSA) Ndg.Charles Shirima akizungumza na Wajasiriamali na Wanaotowa Elimu kwa Wajasiriamali Zanzibar, mafunzo hayo yaliyotolewana (CMSA) katika Ukumbi wa Chuo cha Utalii Maruhubi Wilaya ya Mjini Unguja Jijini Zanzibar.
WAZIRI KOMBO AKUTANA NA MABALOZI WA NORDIC KUIMARISHA USHIRIKIANO WA
MAENDELEO NA UWEKEZAJI
-
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi
Mahmoud Thabit Kombo, akizungumza wakati wa kikao na Mabalozi wa nchi za
Nordic ki...
4 minutes ago
No comments:
Post a Comment