Habari za Punde

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Mwinyi Amezindua Kamati ya Kuzuia Udhalilishaji wa Kijinsia Zanzibar

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi ikiwa na Mkewe Mama Mariam Mwinyi wakielekea katika ukumbi wa Sheikh Idrissa Abdulwakil Kikwajuni Wilaya ya Mjini Unguja Jijini Zanzibar, kwa ajili ya hafla ya kuzindua Kamati ya Kuzuia Udhalilishaji wa Kijinsia Zanzibar na (kushoto kwa Rais) Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Katiba,Sheria, Utumishi na Utawala Bora Zanzibar Mhe. Haroun Ali Suleiman



WASANII wa Kikundi cha Makombora wakitowa burudani ya igizo la mchezo wa kupinga vitendo vya Udhalilishaji wa Kijinsia Zanzibar, wakati wa hafla ya Uzinduzi wa Kamati ya Kuzuia Udhalilishaji wa Kijinsia Zanzibar, uliyofanyika katika ukumbi wa Sheikh Idrissa Abdulwakil Kikwajuni Wilaya ya Mjini Unguja Jijini Zanzibar leo 1-6-2023

WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais Katiba,Sheria, Utumishi na Utawala Bora Zanzibar Mhe.Haroun Ali Suleiman, akizungumza kabla ya kumkaribisha mgeni rasmin Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi kuzungumza na kuizindua Kamati ya Kuzuia Udhalilishaji wa Kijinsia Zanzibar, uzinduzi huo uliofanyika katika ukumbi wa Sheikh Idrissa Abdulwakil Kikwajuni Wilaya ya Mjini Unguja Jijini Zanzibar leo 1-6-2023

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akihutubia wakati wa hafla ya Uzinduzi wa Kamati ya Kuzuia Udhalilishaji wa Kijinsia Zanzibar, uzinduzi huo uliofanyika leo 1-6-2023 katika ukumbi wa Sheikh Idrissa Abdulwakil Kikwajuni Wilaya ya Mjini Unguja Jijini Zanzibar
BAADHI ya Wakuu wa Vikosi vya Ulinzi na Usalama Zanzibar na Viongozi wa Serikali wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) akihutubia katika hafla ya uzinduzi wa Kamati ya Kuzuia Udhalilishaji wa Kijinsia Zanzibar, uzinduzi huo uliofanyika katika ukumbi wa Sheikh.Idrissa Abdulwakil Kikwajuni Wilaya ya Mjini Unguja Jijini Zanzibar  leo 1-6-2023
WAGENI Waalikwa katika hafla ya Uzinduzi wa Kamati ya Kuzuia Udhalilishaji wa Kijinsia Zanzibar wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akihutubia katika hafla hiyo iliyofanyika katika ukumbi wa Sheikh Idrissa Abdulwakil Kikwajuni Wilaya ya Mjini Unguja Jijini Zanzibar leo 1-6-2023
WAGENI Waalikwa katika hafla ya Uzinduzi wa Kamati ya Kuzuia Udhalilishaji wa Kijinsia Zanzibar wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akihutubia katika hafla hiyo iliyofanyika katika ukumbi wa Sheikh Idrissa Abdulwakil Kikwajuni Wilaya ya Mjini Unguja Jijini Zanzibar leo 1-6-2023
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwa na Mkewe Mama Mariam Mwinyi akiondoa pazia kuashiria kuzindua Kamati ya Kuzuia Udhalilishaji wa Kijinsia Zanzibar (kushoto ) Mkurugenzi wa Mashtaka Zanzibar Mhe.Mgeni Jailani Jecha na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Sheria, Katiba,Utumishi na Utawala Bora Zanzibar Mhe. Haroun Ali Suleiman.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Hussein Ali Mwinyi akiwa na Mkewe Mama Mariam Mwinyi, akikabidhiwa Kitabu cha Hadidu Rejea, Kanuni, na Mpango Kazi wa Kamati ya Kuzuia Udhalilishwa Kijinsia Zanzibar, akikabidhiwa na Naibu Mkurugenzi wa Mashtaka Zanzibar Mhe. Mwanamkaa Abdulrahman Mohammed na (kushoto kwa Rais) Mkurugenzi wa Mashtaka Zanzibar Mhe. Mgeni Jailani Jecha, uzinduzi huo uliyofanyika leo 1-6-2023 katika ukumbi wa Sheikh Idrissa Abdulwakil Kikwajuni Wilaya ya Mjini Unguja Jijini Zanzibar
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Hussein Ali Mwinyi akiwa na Mkewe Mama Mariam Mwinyi, akikabidhiwa Kitabu cha Hadidu Rejea, Kanuni, na Mpango Kazi wa Kamati ya Kuzuia Udhalilishwa Kijinsia Zanzibar, akikabidhiwa na Naibu Mkurugenzi wa Mashtaka Zanzibar Mhe. Mwanamkaa Abdulrahman Mohammed na (kushoto kwa Rais) Mkurugenzi wa Mashtaka Zanzibar Mhe. Mgeni Jailani Jecha na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais,Sheria,Katiba,Utumishi na Utawala Bora Zanzibar Mhe. Haroun Ali Suleiman, uzinduzi huo uliyofanyika leo 1-6-2023 katika ukumbi wa Sheikh Idrissa Abdulwakil Kikwajuni Wilaya ya Mjini Unguja Jijini Zanzibar.

 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.