Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akipokea Ujumbe Maalum kutoka kwa Rais wa Angola Mhe. Joao Lourenco uliowasilishwa na Waziri wa Mambo ya Nje wa Angola Mhe. Tete Antonio Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 15 Julai, 2023
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye mazungumzo na Waziri wa Mambo ya Nje wa Angola Mhe. Tete Antonio mara baada ya kuwasilisha Ujumbe Maalum kutoka kwa Rais wa Angola Mhe. Joao Lourenco, Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 15 Julai, 2023.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Waziri wa Mambo ya Nje wa Angola Mhe. Tete Antonio na Ujumbe wake, mara baada ya kuwasilisha Ujumbe Maalum kutoka kwa Rais wa Angola Mhe. Joao Lourenco, Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 15 Julai, 2023.
Uchumi : Gavana Tutuba Ahimiza Matumizi zaidi ya Rasilimali za Ndani ya
Ukanda wa Afrika Mashariki (EAC)
-
Benki Kuu katika ukanda wa Afrika Mashariki (EAC) zimehimizwa kuweka
kipaumbele katika kutumia rasilimali zao kwa ajili ya maendeleo yao, na
kupunguza ut...
7 hours ago
No comments:
Post a Comment