RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akizindua
Mkakati wa Kidigitali wa Serikali na Mfumo wa Bajeti na Matumizi Serikalini,
uzinduzi huo uliofanyika katika ukumbi wa Hoteli ya Golden Tulip Uwanja wa Ndege
Kiembesamaki Wilaya ya Magharibi “B” Unguja Jijini Zanzibar leo 29-7-2023 na
(kushoto kwa Rais) Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Katiba,Sheria,Utumishi na
Utawala Bora Zanzibar Mhe.Haroun Ali Suleiman na Mkurugenzi Mtendaji wa e- Government
Zanzibar (e-GAZ )Ndg.Said Seif Said na (kulia kwa Rais) Waziri wa Nchi Ofisi ya
Rais Fedha na Mipango Zanzibar Mhe.Dkt.Saada Mkuya Salum
MSANII
Mrisho Mpoto akitowa burudani ya Shairi Maalumu wakati wa hafla ya Uzinduzi wa
Mkakati wa Kidigitali wa Serikali na Mfumo wa Bajeti na Matumizi Serikalini,
uzinduzi huo uliyofanyika katika ukumbi wa Hoteli ya Golden Tulip Uwanja wa
Ndege Kiembesamaki Wilaya ya Magharibi “B” Unguja Jijini Zanzibar
Mkurugenzi
Mtendaji wa Wakala wa Serikali Mtandao
Zanzibar ( e- Government Zanzibar) Ndg.Said Seif Said akizungumza na kutowa
maelezo wakati wa Uzinduzi wa Mkakati wa Kidigitali wa Serikali na Mfumo wa
Bajeti na Matumizi Serikalini, uliozinduliwa leo 29-7-2023 katika ukumbi wa
hoteli ya Golden Tupil Uwanja wa Ndege Kiembesamaki Wilaya ya Magharibi “B”
Unguja Jijini ZanzibaR.29-7-2023
WAZIRI
wa Nchi Ofisi ya Rais Fedha na Mipango Zanzibar Mhe.Dkt. Saada Mkuya Salum
akizungumza katika hafla ya Uzinduzi wa Mkakati wa Kidigitali wa Serikali na
Mfumo wa Bajeti na Matumizi Serikalini uliozinduliwa leo 29-7-2023 katika
ukumbi wa Hoteli ya Golden Tulip Uwanja wa Ndege Kiembesamaki Wilaya ya
Magharibi “B” Unguja Jijini Zanzibar.
RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi
akihutubia wakati wa hafla ya Uzinduzi wa Mkakati wa Kidigitali wa Serikali na
Mfumo wa Bajeti na Matumizi Serikalini, uzinduzi huo uliyofanyika katika ukumbi
wa Hoteli ya Golden Tulip Uwanja wa Ndege Kiembesamaki Wilaya ya Magharibi “B”
Unguja Jijini Zanzibar leo 29-7-2023
RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi
akihutubia wakati wa hafla ya Uzinduzi wa Mkakati wa Kidigitali wa Serikali na
Mfumo wa Bajeti na Matumizi Serikalini, uzinduzi huo uliyofanyika katika ukumbi
wa Hoteli ya Golden Tulip Uwanja wa Ndege Kiembesamaki Wilaya ya Magharibi “B”
Unguja Jijini Zanzibar leo 29-7-2023
BAADHI
ya Mawaziri wa SMZ,Viongozi wa Dini na wageni waalikwa katika Uzinduzi wa Mkakati
wa Kidigitali wa Serikali na Mfumo wa Bajeti na Matumizi Serikalini,
wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein
Ali Mwinyi(hayupo pichani) akihutubia katika hafla hiyo ya uzinduzi iliyofanyika
katika ukumbi wa Hoteli ya Golden Tulip Uwanja wa Ndege Kiemesamaki Wilaya ya Magharibi
“B” Unguja Jijini Zanzibar leo 29-7-2023
BAADHI
ya Wageni waalikwa katika hafla ya Uzinduzi wa Mkakati wa Kidigitali wa Serikali
na Mfumo wa Bajeti na Matumizi Serikalini, wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na
Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani)
akihutubia wakati wa uzindua huo, uliyofanyika katika ukumbi wa Hoteli ya
Golden Tulip Uwanja wa Ndege Kiembesamaki Wilaya ya Magharibi “B” Unguja Jijini
Zanzibar leo 29-7-2023
BAADHI
ya Wageni waalikwa katika hafla ya Uzinduzi wa Mkakati wa Kidigitali wa Serikali
na Mfumo wa Bajeti na Matumizi Serikalini, wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na
Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani)
akihutubia wakati wa uzindua huo, uliyofanyika katika ukumbi wa Hoteli ya
Golden Tulip Uwanja wa Ndege Kiembesamaki Wilaya ya Magharibi “B” Unguja Jijini
Zanzibar leo 29-7-2023
WAFANYAKAZI
wa Wakala wa Serikali Mtandao Zanzibar ( e- Government ) wakifuatilia Uzinduzi
wa Mkakati wa Kidigitali wa Serikali na Mfumo wa Bajeti na Matumizi Serikali,
wakati Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali
Mwinyi (hayupo pichani) akihutubia katika hafla hiyo iliyofanyika katika ukumbi
wa Hoteli ya Golden Tulip Uwanja wa Ndege Kiembesamaki Wilaya ya Magharibi “B”
Unguja
No comments:
Post a Comment